Kiboko ya Wachawi aamua kuwaanika manabii wenzake, lengo ni nini?

Kiboko ya Wachawi aamua kuwaanika manabii wenzake, lengo ni nini?

Hivi ilitokea vipi kwa ndugu zetu mkaanza kuamini "watu binafsi" badala ya taasisi?

Mad'hab sisi tunatafsiri kama school of thoughts! Faida ya kufuata mad'hab ni kuwa almost every issue ilikuwa ni debated na thousands of scholars kabla hakijawa adopted kutumika.

Why uamini hawa vijana wajasiliaali na public speakers kuwa watakupa uongofu? Why kwenye mad'hab established hakuna vyeo vya unabii, utume, ukuhani?
 
Mazwazwa na mafukara ya kutapeliwa bado ni wengi nchi hii.

Acha wajanja wapige hela.

Ukristo ni biashara, Yesu ni Bidhaa, Waumini ni Wateja, Viongozi wa makanisa ni Wanufaika.

Christianity is a business, Jesus is the product, Church members are the customers, Religious leaders are the beneficiaries.
 
mbona mimi niliwahi kumuona huyo kuhani Musa na sikudaiwa hiyo milioni 5 anayosema. niliingia bure kabisa kumuona na nikasaidiwa bure kabisa mpaka matatizo yangu yameisha. na kizuri zaidi kipawa na karama aliyopewa na kwangu imeanza kufanya kazi kwa sababu ilikuwa ni sehemu ya maombi yangu mwaka wa tano sasa.
hizo unazosikia milioni 5 mpaka laki tano ni kadi za huduma ya ujenzi unaendelea pamoja na vifaa vya mikutano mikubwa kwenye viwanja vya wazi. na ni hiyari sio lazima. uwe nayo usiwe nayo utamuona bila shida yoyote.
baraka za kujenga madhabahu ya kudumu na inayotembea ni kubwa mno.
wazungu walitujengea makanisa ndio maana wanafanya mambo makubwa. ukienda kwenye kanisa alilojenga mzungu, ukiomba chochote kabla Mungu hajakujibu wewe anamtazama aliemjengea madhabahu hiyo kwanza ndio unafuata wewe.
na ukijitolea chochote katika ujenzi Mungu anasema na mtumishi wake kuhusu wewe ili baraka zake zikujilie. na ndio maana mtumishi anamwambia mtu nione ofisini.
wengi hawajui kosa la pastor Dominique, kosa lake ni kusema vitu ambavyo havikutakiwa kwenda hewani kwenye radio au mitandao au TV.
alitaka kufichua vitu hadharani na wapinzani wake wachawi, waganga, mizimu, mashetani na washirikina wakamuwahi kwa kumstaki kwa waliompa kibali cha kuifanya huduma yake. hilo tu ndio kosa lake. Mungu alimpa karama akashindwa kuwa na hekima ndani ya huduma na utendaji wake.
yote kwa yote asianze kuwazushia wenzake, kila mmoja amepewa kipawa na Karama yake kwa jinsi Roho yule yule atoae apendavyo.
sioni haja ya wao kulumbana .
na asiendelee kumpa sababu shetani ya k
Umeeleza vizuri
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
acha wadalilishane wakimaliza watasema
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Ni kweli hao hutoza hela watu wanaotaka kuonana nao?
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
😀 😀 kiboko ya wachawi kutimuliwa bongo imemuuma sana mapovu yanamtoka ila yule mwamba siku ya kwanza namsikiliza times fm nilishangaa sana
 
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Tuanze na Laurence Masha anasemaje
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Weka video/Audio kwanza, tucomment kutokana na tulichosikia.
 
Cha kushangaza wakristo badala wajadili na kupambana na hao wapuuzi walio igeuza dini yao kuwa kichaka cha kutapeli watu ,wao wako bize kuanzisha rundo la nyuzi za kukejeli na kuwakashifu waisilam hapa jf.
Ukristo ni mpana sana, kuna madhehebu mengi lakini pia kuna hizo Ministry ambazo kwangu naona ndo kichaka cha makanjanja.
Alafu ujue makanjanja hata kwenye Uislam wamejaa, hao wanaoombea watu kwa malipo, kuwasafisha nyota, kuwaosha kwa maji ya nazi, maziwa na perfume ni makanjanja zaidi hata ya hawa unaowashambulia. Muhimu hapa ni kila mtu abaki na imani yake japo hao wa Ministry siwezi kuwaita Wakristo kama ambavyo nyinyi mnawakataa Mashia.
 
Jamaa wapuuzi sana,wanaacha kudili na matapeli wanaochafua dini yao,wapo bize na kobazi sijui kobaza
Na nyie si mdeal na matapeli wanaotumia Uislam kupiga pesa kama wakina shekh sharif majini na wenzie? Alafu vipi kuhusu Shia ni wenzenu au hamuwatambui?
 
Mazwazwa na mafukara ya kutapeliwa bado ni wengi nchi hii.

Acha wajanja wapige hela.

Ukristo ni biashara, Yesu ni Bidhaa, Waumini ni Wateja, Viongozi wa makanisa ni Wanufaika.

Christianity is a business, Jesus is the product, Church members are the customers, Religious leaders are the beneficiaries.
Na katika Uislam pia ni hivyohivyo ni bidhaa na wakina Sharif Majini na wenzie wanaiuza vema
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Mfa maji...
 
Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.

Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.

Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.

Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.

Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.

Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Haya madhehebu haya.. Duniani Ukristo ni Roman Catholic tu. Madhehebu mengine Mnapigwa.

Dini ni mbili... Ukristo kwa maana ya Roman Catholic na Uislam. Fullstop
 
Na nyie si mdeal na matapeli wanaotumia Uislam kupiga pesa kama wakina shekh sharif majini na wenzie? Alafu vipi kuhusu Shia ni wenzenu au hamuwatambui?
Ushasikia kuna manabii wa kiislam? Shehe sharrifu ni mganga wa kienyeji tu, mnatapeliwa shtukeni na ujinga wenu, mfano mimi nna mshkaji wangu maarufu ni muislam kabisa, ila kwasasa nae ni Nabii anapiga pesa za mazuzu jina lake maarufu linaanzia na IP, waislam wana ujinga wao lakini hakuna kundi la matapeli katika dini yao kama walivyo wakristo, tatizo la wakristo ni wepesi kuamini sana.

Dini ya kikristo inajinasibu ina wasomi wengi lakini cha ajabu wanatapeliwa na watu wa darasa la saba tu,tena kiulainii kabisa,

Ukiwambia kweli wanakuambia huko kwa manabii wengi wanaoenda ni waislam wavaa kobazi
 
Back
Top Bottom