Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Hivi ilitokea vipi kwa ndugu zetu mkaanza kuamini "watu binafsi" badala ya taasisi?
Mad'hab sisi tunatafsiri kama school of thoughts! Faida ya kufuata mad'hab ni kuwa almost every issue ilikuwa ni debated na thousands of scholars kabla hakijawa adopted kutumika.
Why uamini hawa vijana wajasiliaali na public speakers kuwa watakupa uongofu? Why kwenye mad'hab established hakuna vyeo vya unabii, utume, ukuhani?
Mad'hab sisi tunatafsiri kama school of thoughts! Faida ya kufuata mad'hab ni kuwa almost every issue ilikuwa ni debated na thousands of scholars kabla hakijawa adopted kutumika.
Why uamini hawa vijana wajasiliaali na public speakers kuwa watakupa uongofu? Why kwenye mad'hab established hakuna vyeo vya unabii, utume, ukuhani?