Kiboko ya Wachawi aamua kuwaanika manabii wenzake, lengo ni nini?

Kagame alishiti huu ungese akaonekana mafia sana bt binafsi nilimuunga mkono saaana kidogo tunachopata tulipe kodi na hawa wazee wa miuzijiza fake wapite nacho tena
 
Juzi msaidizi wake de facto pastor Amin amesema kiwa kiboko ya wachawi alikuwa ameweka mafala ya maiti za watoto pale madhabahuni kwake .

Ukweli ni kuwa manabii wote mchwara hapa nchi ni wachawi tu na kiboko ya wachawi alikuwa hana siri alianza kusema wanapata nguvu ndio maana wakamuwahi
L

USSR
 
Alichokisema ndio ukweli wote waganga tu tu sema kinamuuma sana kutimuliwa

USSR
 
mzee wa ubungo kibangu, mzee wa konyagi hilo linajulikana. kuhani ni mchawi kabisa pale temboni. wengine waliojaza uwanja juzi ni maajenti wa shetani kabisa. wa arusha ni nyoka kabisa. kuweni makini na hao manabii na mitume wa kisasa, ni fake, msipoteze nao muda. nao wanajiita walokole, na wameletwa na shetani kuchafua ulokole. cha kushukuru Mungu kwenye umoja wa kilokole wamekataa kuwa pokea na kuwatambua, wanao umoja wao. kwa hiyo msituchanganye nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ