SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Babu Happy New YearChanzo kikuu cha kushamiri kwa matapeli wa kila aina nchini, kunatokana na udhaifu wa serikali iliyoko madarakani.
Teh Teh Teh Mkuu ๐ถ๐ถ๐ถChanzo kikuu cha kushamiri kwa matapeli wa kila aina nchini, kunatokana na udhaifu wa serikali iliyoko madarakani.
Juzi msaidizi wake de facto pastor Amin amesema kiwa kiboko ya wachawi alikuwa ameweka mafala ya maiti za watoto pale madhabahuni kwake .Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.
Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.
Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.
Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.
Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Alichokisema ndio ukweli wote waganga tu tu sema kinamuuma sana kutimuliwaKlip yake anasema jamaa wa ubungo..
Inaonekana manabii na mitume ni kama association flani hivi wanajuana na huwa wanasaidiana kuinuana. Sasa jamaa kageuka mbogo kuona yeye katimuliwa wenzake wanafanya zaidi ya utapeli wake wanakula maisha. Kaamua kuwalipua/kuwachafua.
mzee wa ubungo kibangu, mzee wa konyagi hilo linajulikana. kuhani ni mchawi kabisa pale temboni. wengine waliojaza uwanja juzi ni maajenti wa shetani kabisa. wa arusha ni nyoka kabisa. kuweni makini na hao manabii na mitume wa kisasa, ni fake, msipoteze nao muda. nao wanajiita walokole, na wameletwa na shetani kuchafua ulokole. cha kushukuru Mungu kwenye umoja wa kilokole wamekataa kuwa pokea na kuwatambua, wanao umoja wao. kwa hiyo msituchanganye nao.Jamaa inaonekana bado hajaridhika kutimuliwa. Sasa anamsema kila mtumishi mwenzake maarufu wa Tanzania japo kwa mafumbo.
Anasema mzee wa ubungo ni tapeli wa kutupwa na ni mtu wa system.
Kuhani Moses wa temboni anadai amewahi kufukia jeneza uwanjani Mbagala akaweka alafa kwenye mkutano akafukua kama amagundua uchawi.
Analalamika yeye ametimuliwa kwa sababu ameweka kiingilio cha 500K kumuona wakati jamaa wa Temboni anakiingilio hadi cha 5,000,000. Wengine 1,000,000.
Anadai hajafukuzwa na Serikali bali wenzake walimuonea wivu maana alikuwa anakaribia kuikausha kawe.
Wakuu hii imekaaje. Jamaa anaongea kana kwamba Injili yake inawataka watanzania tu kwingine kafeli. Je, Bongo ndio wateja wakubwa wa injili ya mwendokasi na wepesi kutoa pesa za upako?
Nimemaanisha serikali ya huku Burundi niliko kiongozi! Sijamaanisha ile serikali ya akina Lucas.Teh Teh Teh Mkuu ๐ถ๐ถ๐ถ
Happy New Year SweetyCandy ๐Babu Happy New Year
๐ Nimekuelewa mkuuNimemaanisha serikali ya huku Burundi niliko kiongozi! Sijamaanisha ile serikali ya akina Lucas.