Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio

Jukumu kubwa la serikali ni kuhakikisha ustawi na usalama wa watu wake. Ukishalijua hilo hautapaswa tena kuuliza hili swali lako. Anachokifanya Paul Kagame kule Rwanda, ndicho kilipaswa kufanywa na viongozi wetu dhidi ya hawa wadhalimu na matapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…