Kiboko ya Wanandoa na wapenzi wasio waaminifu

Kiboko ya Wanandoa na wapenzi wasio waaminifu

na siku mtu akigundua mumewe au mkewe anamspy si ndo talaka hiyo?
halafu hii ni kujitafutia stress zisizo za msingi, kuku wako mwenyewe ya nini kumshikia manati?
 
Huwezi kuichunga bahari watu wasiogelee!! Heshima anayo mtu mwenyewe, kuanza kumonitana ni kujiongezea headache ushindwe kufanya vitu vya maendeleo uitolee simu macho kutwa saa ngapi itaingia msg nikamfumanie!!!

Sikujua hiyo nani hii yenu ni kama bahari anybody can swim in. anyway, you tell the reality ingawa mimi imeniuma sana
 
Int.
Lakini advantage ya kwako kulinganisha na hizi ambazo ziko sokoni sasa hivi(online)ni ipi?Maana zenyewe zinauzwa kwa dola maximum 50tu. Na kama zilizo hapa Tanzania hazihitaji internet connection unaletewa file zima zima kwenye sms kwenye simu yako.
Na waswahili (wenye wivu) wanajua jinsi ya kula na mafundi wa simu za mkononi kwenye kampuni za simu unafanyiwa recording unaletewa chip imerekodiwa kila kitu kwa bill ya 20,000 pm unasikiliza simu unayoitaka na mazungumzo yote au yale unayotaka tu.
Uzuri wa hizi za Tanzania hata mtu wa kijijini ana uwezo wa kumpata mwizi wake sio wa mjini tu.
Kama utapata wateja 1,000 hizo ni 80,000USD faida yako labda ni 30,000USD unaifikiriaje JF unapoendelea kutumia jamvi kupata mawaidha?
All the best kutumia maendeleo na matatizo yanaokuzunguka kutajirika,
Kt.
 
Je nawezakutuelimisha hasara za KIBOKO na Privacy issues zitakazotokana na mtu kumgundua mtuwe SI mwaminifu au ana nyendo za kisaliti???
 
Mmmmmh! Hiyo software yako, huku India tayari imeshaleta mizozo! Gazeti la The Hindu la leo lilikuwa na story yenye visa vya 'spyware' kama hiyo. Bahati mbaya sijaweza kupata link ukajisomea mwenyewe, wameiona ni story ya kawaida hivyo wameshaitoa online. Lakini ukweli ni kuwa hiyo 'investiment' unayodai kuweka, uwe makini maana muda si mrefu serikali itaingilia kati na kuipiga marufuku kwa kuwa watu tayari katika nchi zingine wanaitumia kufuatilia mawasiliano ya watu wasiowahusu kabisa. Najua hata bongo itafikasiku nyingi.
 
Kwa ulimwengu wa sasa sizani kama iyo ni muhimu bse cheating imekuwa sehemu ya maisha na kuharlisha kwa kuiita nyumba ndogo.
Ndo maana ngoma haitaisha kabsaaaaaaaaaaaaaaa
Kwa wanaotaka all the best then mtatupa feedback
 
Hizi ni biashara zenye madhara kwa jamii.
Mkishauza hiyo technologia msisahau kutuletea na bunduki ili tuwaadhibu cheaters wetu.

Kila la heri.
 
1.Hii ni kwa wanandoa ,wapenzi,mtoto wako---simu ya mkeo na yako kwa pamoja zitatakiwa kufanyiwa installation ya hii software.mfano unamwazima mkeo simu yake kwa siku moja kumbe unaenda kuifanyia installation then unamrudishia,hawezi kujua hata kidogo kuhusu nini kinaendelea.

2.Kwa sasa trial hii imefanikiwa kwenye phones zote na SIMs za aina yote.

sasa kwa line ya mkeo ni rahisi zaid.hata kama atabadilisha line ingine akiweka kwenye hiyo phone,software ina auto detect na kukurequest kuspy au la.

why not mumeo?
 
Mawazo ya kuchunga binadamu ni ya watu wasio na kazi! na wana muda mwingi kufuatilia...maisha ya wenziwao...keep your patners busy with some activities (income earning activities)

Msg na simu nazopigiwa na watu wengine tu kwasababu za kikazi siwezi kuzi-handle nianze kahangaika na wife (s) lol. not me

have no time for that ...linda ndoa yako kwa mapenzi na si kwa nguvu na hofu ya kuviziana damn
 
Mimi sioni kosa la inteligencia especially in technological point of view...

every thing is possible kwenye IT, labda tatizo liwe hilo la privacy kwa sababu

mwananchi wa kawaida hata complain direct kwako, ataanzia kwenye kampuni la simu

kampuni la simu litaishirikisha serikali sasa hapo ndo kibano kitapoanzia....

ila mimi nipo pamoja nawe kaka, if u need any support in your business am right here.
 
Nampngeza sana huyu jamaa, binadamu tumezidi kukosa uhaminifu, bora njia hii, namshauri ajitahidi hata hand set za kichina iweze kuzitumia maana ndio nyingi, lingine bei yake kubwa sana, atengeneze na zenye bei nafuu kwa ajili ya walala hoi,
 
na siku mtu akigundua mumewe au mkewe anamspy si ndo talaka hiyo?
halafu hii ni kujitafutia stress zisizo za msingi, kuku wako mwenyewe ya nini kumshikia manati?
aha aha aha carmel bwana?
 
Nampngeza sana huyu jamaa, binadamu tumezidi kukosa uhaminifu, bora njia hii, namshauri ajitahidi hata hand set za kichina iweze kuzitumia maana ndio nyingi, lingine bei yake kubwa sana, atengeneze na zenye bei nafuu kwa ajili ya walala hoi,

pamoja man
 
Mimi sioni kosa la inteligencia especially in technological point of view...

every thing is possible kwenye IT, labda tatizo liwe hilo la privacy kwa sababu

mwananchi wa kawaida hata complain direct kwako, ataanzia kwenye kampuni la simu

kampuni la simu litaishirikisha serikali sasa hapo ndo kibano kitapoanzia....

ila mimi nipo pamoja nawe kaka, if u need any support in your business am right here.

pamoja man.
 
Subirini muanze kupata ugonjwa wa moyo na kupanda presha kwa wivu baada ya kugundual la azizi kuwa anafanya vitu vyake nje,yote hayo ya nini ?
 
Nampngeza sana huyu jamaa, binadamu tumezidi kukosa uhaminifu, bora njia hii, namshauri ajitahidi hata hand set za kichina iweze kuzitumia maana ndio nyingi, lingine bei yake kubwa sana, atengeneze na zenye bei nafuu kwa ajili ya walala hoi,
Unataka atengeneze ya kichina pia? (bei poa)
 
Back
Top Bottom