Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuichunga bahari watu wasiogelee!! Heshima anayo mtu mwenyewe, kuanza kumonitana ni kujiongezea headache ushindwe kufanya vitu vya maendeleo uitolee simu macho kutwa saa ngapi itaingia msg nikamfumanie!!!
1.Hii ni kwa wanandoa ,wapenzi,mtoto wako---simu ya mkeo na yako kwa pamoja zitatakiwa kufanyiwa installation ya hii software.mfano unamwazima mkeo simu yake kwa siku moja kumbe unaenda kuifanyia installation then unamrudishia,hawezi kujua hata kidogo kuhusu nini kinaendelea.
2.Kwa sasa trial hii imefanikiwa kwenye phones zote na SIMs za aina yote.
sasa kwa line ya mkeo ni rahisi zaid.hata kama atabadilisha line ingine akiweka kwenye hiyo phone,software ina auto detect na kukurequest kuspy au la.
why not mumeo?
aha aha aha carmel bwana?na siku mtu akigundua mumewe au mkewe anamspy si ndo talaka hiyo?
halafu hii ni kujitafutia stress zisizo za msingi, kuku wako mwenyewe ya nini kumshikia manati?
Nampngeza sana huyu jamaa, binadamu tumezidi kukosa uhaminifu, bora njia hii, namshauri ajitahidi hata hand set za kichina iweze kuzitumia maana ndio nyingi, lingine bei yake kubwa sana, atengeneze na zenye bei nafuu kwa ajili ya walala hoi,
Mimi sioni kosa la inteligencia especially in technological point of view...
every thing is possible kwenye IT, labda tatizo liwe hilo la privacy kwa sababu
mwananchi wa kawaida hata complain direct kwako, ataanzia kwenye kampuni la simu
kampuni la simu litaishirikisha serikali sasa hapo ndo kibano kitapoanzia....
ila mimi nipo pamoja nawe kaka, if u need any support in your business am right here.
Unataka atengeneze ya kichina pia? (bei poa)Nampngeza sana huyu jamaa, binadamu tumezidi kukosa uhaminifu, bora njia hii, namshauri ajitahidi hata hand set za kichina iweze kuzitumia maana ndio nyingi, lingine bei yake kubwa sana, atengeneze na zenye bei nafuu kwa ajili ya walala hoi,
Unataka atengeneze ya kichina pia? (bei poa)
Majaribio yamekamilika na KIBOKO iko sokoni kwanzia sasa.