Kaka Raynavero tulienda kumzika hatimae ilipita saa na nusu wazee wameitana pembeni, marehemu alikuwa anafanya biashara flani na aliekua anajua ni mtoto wake wa miaka 12 miongoni mwa wana familia wote. Mpaka mke wa marehemu alivyopigiwa simu ndio akasema marehemu alikuwa anapenda sana kuongozana na kijana wake huyo na ndie anaejua kila kitu, wakati huo huyo kijana alishatangulia makaburini. Mpaka kuja kupelekwa boda boda imfate, kuja kueleza fedha ilipo. Aiseee
Poleni sana na msiba wa Kibonde.
Najaribu kuwaza, Kibonde ni MC wa masherehe mbali mbali. Kuna wakati tulitaka kumbook tukakuta imekuwa full booked kwa jumamosi za takribani miezi minne mbele.
Sasa najaribu kujiuliza, endapo marehemu alikuwa amepokea advance (kishika uchumba) kwaajili ya kuwa MC kwenye harusi za watu, je pesa hizo ndugu zake watarudisha? Waliolipa kwa Mpesa Tigo Pesa au bank atleast wapo salama. Je, vipi kwa waliolipa cash? Yani walionana na marehemu kisha wakalipa na hawakuandikishiana popote pale
Kwa uhodari na jina alilokuwa nalo Kibonde kwenye ushehereshaji basi yawezekana kabisa kuwa atakuwa amefariki na pesa nyingi za watu waliotoa advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sio kila I'd humu ni ya kiume huyo ni mdadaKaka Raynavero tulienda kumzika hatimae ilipita saa na nusu wazee wameitana pembeni, marehemu alikuwa anafanya biashara flani na aliekua anajua ni mtoto wake wa miaka 12 miongoni mwa wana familia wote. Mpaka mke wa marehemu alivyopigiwa simu ndio akasema marehemu alikuwa anapenda sana kuongozana na kijana wake huyo na ndie anaejua kila kitu, wakati huo huyo kijana alishatangulia makaburini. Mpaka kuja kupelekwa boda boda imfate, kuja kueleza fedha ilipo. Aiseee
Walah nimeshindwa kumtafakari mtoa mada.Maisha ni zaidi ya pesa!
Binadamu mwenzako amepoteza uhai, watoto wake, familia yake, wafanyakazi na marafiki wanamlilia, hata kuzikwa bado hajazikwa, wewe unachowaza ni uwezekano wa pesa za sherehe alizochukua kwamba zitapotea! Tujifunze kuwa na angalau chembe cha ubinadamu
Poleni sana na msiba wa Kibonde.
Najaribu kuwaza, Kibonde ni MC wa masherehe mbali mbali. Kuna wakati tulitaka kumbook tukakuta imekuwa full booked kwa jumamosi za takribani miezi minne mbele.
Sasa najaribu kujiuliza, endapo marehemu alikuwa amepokea advance (kishika uchumba) kwaajili ya kuwa MC kwenye harusi za watu, je pesa hizo ndugu zake watarudisha? Waliolipa kwa Mpesa Tigo Pesa au bank atleast wapo salama. Je, vipi kwa waliolipa cash? Yani walionana na marehemu kisha wakalipa na hawakuandikishiana popote pale
Kwa uhodari na jina alilokuwa nalo Kibonde kwenye ushehereshaji basi yawezekana kabisa kuwa atakuwa amefariki na pesa nyingi za watu waliotoa advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache unafiq. Tunaishi kibepari. Mtu keshakufa kuna utu gani ndani yake. Ndio ana pesa za watu, ni haki yao kulipwa. Msiba hauwahusu. Utu ni pale anapokuwa hai, akishakufa hakuna utu. Na kwa waliofiwa....walipe kama kuna ushahidi. Utu pelekeni huko.Jamani tuwe na utu basi.
Mtu amefariki hata kuzikwa bado, Watu wapo kwenye simanzi mnawaza pesa daah!!
Pesa ina thamani gani mbele ya uhai wa mtu?
Vitu vingine hata kuvizungumzia ni aibu.
Badala ya kuwazia watoto wake wataishije bila baba wala mama we unawaza pesa za advance za UMC? tenq sio zako....Loh!!!Poleni sana na msiba wa Kibonde.
Najaribu kuwaza, Kibonde ni MC wa masherehe mbali mbali. Kuna wakati tulitaka kumbook tukakuta imekuwa full booked kwa jumamosi za takribani miezi minne mbele.
Sasa najaribu kujiuliza, endapo marehemu alikuwa amepokea advance (kishika uchumba) kwaajili ya kuwa MC kwenye harusi za watu, je pesa hizo ndugu zake watarudisha? Waliolipa kwa Mpesa Tigo Pesa au bank atleast wapo salama. Je, vipi kwa waliolipa cash? Yani walionana na marehemu kisha wakalipa na hawakuandikishiana popote pale
Kwa uhodari na jina alilokuwa nalo Kibonde kwenye ushehereshaji basi yawezekana kabisa kuwa atakuwa amefariki na pesa nyingi za watu waliotoa advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ni zaidi ya pesa!
Binadamu mwenzako amepoteza uhai, watoto wake, familia yake, wafanyakazi na marafiki wanamlilia, hata kuzikwa bado hajazikwa, wewe unachowaza ni uwezekano wa pesa za sherehe alizochukua kwamba zitapotea! Tujifunze kuwa na angalau chembe cha ubinadamu
Ila msibani si huwa kuna session ya kuita wadai na wadaiwa?
Marehemu hana haki, sorry kwa maneno makali yenye ukweli mchunguMbona haijazungumziwa mali ambazo yeye anadai kwa watu mbalimbali
Umenena vyemaMaisha ni zaidi ya pesa!
Binadamu mwenzako amepoteza uhai, watoto wake, familia yake, wafanyakazi na marafiki wanamlilia, hata kuzikwa bado hajazikwa, wewe unachowaza ni uwezekano wa pesa za sherehe alizochukua kwamba zitapotea! Tujifunze kuwa na angalau chembe cha ubinadamu
Ndio hapo watanzania tujifunze kusaini kwenye makaratasi hata pesa kidogo tunayolipa au kupokea. Makubaliano yanayohusu pesa bila kusaini mkataba iko siku utakula hasara.
Kwahiyo ulitaka kusema azirudishe ili huko aendako asije akazitumia au?Poleni sana na msiba wa Kibonde.
Najaribu kuwaza, Kibonde ni MC wa masherehe mbali mbali. Kuna wakati tulitaka kumbook tukakuta imekuwa full booked kwa jumamosi za takribani miezi minne mbele.
Sasa najaribu kujiuliza, endapo marehemu alikuwa amepokea advance (kishika uchumba) kwaajili ya kuwa MC kwenye harusi za watu, je pesa hizo ndugu zake watarudisha? Waliolipa kwa Mpesa Tigo Pesa au bank atleast wapo salama. Je, vipi kwa waliolipa cash? Yani walionana na marehemu kisha wakalipa na hawakuandikishiana popote pale
Kwa uhodari na jina alilokuwa nalo Kibonde kwenye ushehereshaji basi yawezekana kabisa kuwa atakuwa amefariki na pesa nyingi za watu waliotoa advance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ni zaidi ya pesa!
Binadamu mwenzako amepoteza uhai, watoto wake, familia yake, wafanyakazi na marafiki wanamlilia, hata kuzikwa bado hajazikwa, wewe unachowaza ni uwezekano wa pesa za sherehe alizochukua kwamba zitapotea! Tujifunze kuwa na angalau chembe cha ubinadamu