Kibonzo: Mzee Kikwete hapa atakuwa ndio yupi na Rais Samia ndio yupi. Serikali inanichanganya

Kibonzo: Mzee Kikwete hapa atakuwa ndio yupi na Rais Samia ndio yupi. Serikali inanichanganya

Naombeni msaada maana naona kama hapa kuna shida. Jamaa kajichorea watu na kaandika jina la mtu mmoja kuwa ni Kiwete.

Polisi wanasema kakosea huyo siyo Kiwete ni Kikwete. Na huyu anayechezea maji kwenye beseni wanasema ni Rais Samia.

But mchoraji yeye anasemaje? Kwanini wao waone hivyo na hii ni michoro ambayo huwezi thibitisha? Na huo uchambuzi wameutoa wapi? Kwanini wasiseme Baba anaongea na wananchi huku amemwacha mtoto wake wa kike achezee maji badala ya kumpeleka shule.

Kwanini wajenge dhana kuwa maana yake kuwa Rais Samia anaongozwa na Kikwete. Hii wameijenga kwa misingi gani? Au ndivyo wanavyoamini wao kiasi kwamba wanaamini kila mtu anaamini kama wao?

Anaongoza nchi vizuri? Nchi gani? Ya kusadikika? Ya Liberia au Sudan? Ya Mongolibo au ya Chechewani katika Bara la Gubang?

Waliofungua Kesi ndio watamtaja huyu ni nani na yule ni nani Mshtakiwa hawajui
 
Wao polisi ndio wana takiwa kushtakiwa kwa kumdhalilisha Mh. Rais. Mchoraji hana maana ambayo mapolisi wamemshtaki kwayo.
Hii ndio shida ya vyeti vya kuazima. Hawakusoma fasihi.
IGP SIRO ni wa kutumbua tu. Huyu mkurya cjui ana matatizo gani?
Kibonzo kinaonesha jitu nene linaitwa KIWETE na kwasababu ya Ukiwete wake limeagamia kabinti kadogo hakana hata jina zaidi ya kulalama tu BA-BA BA-BA kwasababu ya uzito wa yule kiwete!
Halafu kichaa mmoja mwene akili za kuunga unga anakuja @ charge sheet kumshtaki mchoraji ati kamdhalilisha Kiwete na Rais Samia.....ebho!

Hizi ni akili za matope kabisa!! Hivi nji hii imewahi kuongozwa na Mhe. anaitwa KIWETE kweli? Hebu IGP na Polisi wako mjitathmini. Be serious on issues.....siyo mnakurupuka na kesi za kihuni a.k.a KESI ZA MICHONGO kama ile ya Mhe.Mbowe wa CHADEMA. Pambaf zenyu.
 
Back
Top Bottom