Kibonzo: Mzee Kikwete hapa atakuwa ndio yupi na Rais Samia ndio yupi. Serikali inanichanganya

Waliofungua Kesi ndio watamtaja huyu ni nani na yule ni nani Mshtakiwa hawajui
 
Wao polisi ndio wana takiwa kushtakiwa kwa kumdhalilisha Mh. Rais. Mchoraji hana maana ambayo mapolisi wamemshtaki kwayo.
Hii ndio shida ya vyeti vya kuazima. Hawakusoma fasihi.
IGP SIRO ni wa kutumbua tu. Huyu mkurya cjui ana matatizo gani?
Kibonzo kinaonesha jitu nene linaitwa KIWETE na kwasababu ya Ukiwete wake limeagamia kabinti kadogo hakana hata jina zaidi ya kulalama tu BA-BA BA-BA kwasababu ya uzito wa yule kiwete!
Halafu kichaa mmoja mwene akili za kuunga unga anakuja @ charge sheet kumshtaki mchoraji ati kamdhalilisha Kiwete na Rais Samia.....ebho!

Hizi ni akili za matope kabisa!! Hivi nji hii imewahi kuongozwa na Mhe. anaitwa KIWETE kweli? Hebu IGP na Polisi wako mjitathmini. Be serious on issues.....siyo mnakurupuka na kesi za kihuni a.k.a KESI ZA MICHONGO kama ile ya Mhe.Mbowe wa CHADEMA. Pambaf zenyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…