Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kwanza kabisa nasikitika sana historia ya eneo hili kufichwa au kutokua wazi. Nimepita pita sana kila kona lakini sijawahi kuona hostoria yake.
Kanisa hili lilijengwa na Wajerumani kwa mawe miaka ya 1880. Ujio wa Wamisionari hawa ulitoa fursa kwa Kibosho kuwa na sehem ya ibada, kujengwa kwa hospitali kubwa ya Kibosho na seminari pamoja na sekondari.
Baada ya miradi hii Wamisionari hawa walienda kufia sehem moja inaitwa Kiweruweru ni makutano ya mito miwili Nsoo na Kilombanga hiyo sehem iliwekwa msalaba lakini ulivunjika miaka ya 2003(ni sehemu ya kihistoria pia).
Kwa yeyote anaejua lolote kuhusu historia ya Kibosho karibuni.
Unaweza kuona maeneo hayo kupitia ramani hii👉
Google Maps
Kanisa hili linaweza kuwa kivutio kutokana na ukongwe wake na ujenzi wake na muonekano wake pia. Kwani kuna sehem nyingi kwa nchi zilizoendelea majengo kama haya yamekuwa vivutio vikubwa vya kitalii na kuingizia serikali mapato ya kutosha.
Naamini hili eneo lingekuwa kwenye nchi zilizoendelea lingekuwa maarufu sana.
Kanisa hili lilijengwa na Wajerumani kwa mawe miaka ya 1880. Ujio wa Wamisionari hawa ulitoa fursa kwa Kibosho kuwa na sehem ya ibada, kujengwa kwa hospitali kubwa ya Kibosho na seminari pamoja na sekondari.
Baada ya miradi hii Wamisionari hawa walienda kufia sehem moja inaitwa Kiweruweru ni makutano ya mito miwili Nsoo na Kilombanga hiyo sehem iliwekwa msalaba lakini ulivunjika miaka ya 2003(ni sehemu ya kihistoria pia).
Kwa yeyote anaejua lolote kuhusu historia ya Kibosho karibuni.
Unaweza kuona maeneo hayo kupitia ramani hii👉
Google Maps
Kanisa hili linaweza kuwa kivutio kutokana na ukongwe wake na ujenzi wake na muonekano wake pia. Kwani kuna sehem nyingi kwa nchi zilizoendelea majengo kama haya yamekuwa vivutio vikubwa vya kitalii na kuingizia serikali mapato ya kutosha.
Naamini hili eneo lingekuwa kwenye nchi zilizoendelea lingekuwa maarufu sana.