David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Mazingira ni mazuri na yanavutia mnoo...
Nimesali sana hapo.
Beautiful scenery...Beutiful view of mt kilimanjaro.
Naam Kilema My Home sweet Home... Nimesali Sana hapo na kutumikia Miaka ya 1990+ Ni mahali panavutia mmnoHuko Moshi ni kuzuri sana. Hili ni kanisa la kwanza kijengwa huko Kilimanjaro lipo Kilema. Wamissionari wa kwanza kabisa Moshi walishukia hapa Kilema.