Acha uwongo haiwezi kuwa miaka hiyoZanzibar, Kizimkazi Dimbani kuna msikiti una miaka 913 sasa. Ulijengwa mwaka 1107 na bado unatumika mpaka leo. Yaani kuta zake ni imara sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uwongo haiwezi kuwa miaka hiyoZanzibar, Kizimkazi Dimbani kuna msikiti una miaka 913 sasa. Ulijengwa mwaka 1107 na bado unatumika mpaka leo. Yaani kuta zake ni imara sana.
Sawa.Acha uwongo haiwezi kuwa miaka hiyo
Weka picture mkuuZanzibar, Kizimkazi Dimbani kuna msikiti una miaka 913 sasa. Ulijengwa mwaka 1107 na bado unatumika mpaka leo. Yaani kuta zake ni imara sana.
Linafanana mno na la kibosho umbweSiyo kibosho umbwe ni kibosho msinga kanisa lipo karibu na hospital ya kibosho msinga hapo hapo kwa chini kuna chuo cha muda mrefu sana.
Unaweza kusoma hilo Bango hapo. Then useme nani Muongo.Acha uwongo haiwezi kuwa miaka hiyo
Nimeweka MkuuWeka picture mkuu
Hili ni la kirima.(singajuu.)Wenyewe wanasema singa ndoo.Kanisa Ni la kibosho umbwe au lipi maana kibosho makanisa mengi na yanafanana
Kwanza kabisa nasikitika sana historia ya eneo hili kufichwa au kutokua wazi. Nimepita pita sana kila kona lakini sijawahi kuona hostoria yake.
Kanisa hili lilijengwa na Wajerumani kwa mawe miaka ya 1880. Ujio wa Wamisionari hawa ulitoa fursa kwa Kibosho kuwa na sehem ya ibada, kujengwa kwa hospitali kubwa ya Kibosho na seminari pamoja na sekondari.
Baada ya miradi hii Wamisionari hawa walienda kufia sehem moja inaitwa Kiweruweru ni makutano ya mito miwili Nsoo na Kilombanga hiyo sehem iliwekwa msalaba lakini ulivunjika miaka ya 2003(ni sehem ya kihistoria pia).
View attachment 1499102
Kwa yeyote anaejua lolote kuhusu historia ya Kibosho karibuni.
Unaweza kuona maeneo hayo kupitia ramani hii👉
Google Maps
Kanisa hili linaweza kuwa kivutio kutokana na ukongwe wake na ujenzi wake na muonekano wake pia. Kwani kuna sehem nyingi kwa nchi zilizoendelea majengo kama haya yamekuwa vivutio vikubwa vya kitalii na kuingizia serikali mapato ya kutosha.
View attachment 1499103
Naamini hili eneo lingekuwa kwenye nchi zilizoendelea lingekuwa maarufu sana.
Kuna mjinga humu kasema mzungu hawezi kushangaa alichojenga yeye....nimemdharau sanaTanzania tumejikita kwenye utalii wa vitu natural tuu, wenzetu kama India wanapiga hela za utalii sana kutoka kwenye majengo ya kihistoria lakini pia wanajenga majengo unique ili kuvutia wataliii mfano India kuna lotus temple linavuta watalii mno!
Dubai wanajenga majengo vivutio kila leo, ni projects kabisa
Kuna mjinga humu kasema mzungu hawezi kushangaa alichojenga yeye....nimemdharau sana
Ww utakua umesoma Umbwe au Lyamungo maana umekariri chocho zote za Kiboshowazungu, maana una mentality za kikoloni.
Hao wachagga wenzako wa kirima, umbwe, sakaeni, kibosho kati, mwengu, sungu juu na chininndio watalii, nyie mnabeza wazungu et hawatutakii mema alafu mnataka waje kutaliii?
Maeneo ya MlamaWw utakua umesoma Umbwe au Lyamungo maana umekariri chocho zote za Kibosho
Tena unakuta kuna mengine ya kale kweli halafu makubwa na adornment zake zimesimama mpaka leo, vioo vipo vilevile (mfano westminister abbey).Nadhani mtoa mada angepaswa kuhimiza wakibosho wenzie watumie kanisa hilo kwa ibada ila sio kushauri libadilishwe kuwa kivutio cha utalii. Mabeberu hawawezi kujenga kitu karne 3 zilizopita kisha warudi kuja kukishangaa maana hata huko kwao walijenga makubwa na mazuri kuliko hilo mapema kabla hawajaja huku.