Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kabisa, mtoa mada hana exposure, ni sawa na yule anayejinadi kila uchao na interchange za ubungo, nahisi hajafika hata Nairobi akashangae na roho yakeNadhani mtoa mada angepaswa kuhimiza wakibosho wenzie watumie kanisa hilo kwa ibada ila sio kushauri libadilishwe kuwa kivutio cha utalii. Mabeberu hawawezi kujenga kitu karne 3 zilizopita kisha warudi kuja kukishangaa maana hata huko kwao walijenga makubwa na mazuri kuliko hilo mapema kabla hawajaja huku.
Nkukapa kyanduWapi nimetaja mkuu🙄🙄? Au unataka ugomvi tu saivi?
Ishu sio ukwanza hata muonekano piaKanisa la kwanza kujengwa Kilimanjaro lilikuwa Ni Kanisa la Kilema (Mt. Bernadeta) mwaka 1890. Kwa taarifa yako ndio palikuwa makao makuu ya Jimbo hadi mwaka 1961 yalipohamishiwa Kristu Mffalme Moshi.
[emoji1787][emoji1787]Ni kivutio tosha kwa wakibosho, wewe unafikiri watalii ni akina nani hasa?
Nakushauri nenda hotojuta Inshaallah. Mie nilienda kutembelea aisee.Naahidi kuzuru
Siyo kibosho umbwe ni kibosho msinga kanisa lipo karibu na hospital ya kibosho msinga hapo hapo kwa chini kuna chuo cha muda mrefu sana.Kanisa Ni la kibosho umbwe au lipi maana kibosho makanisa mengi na yanafanana
Mkuu babu zetu walitumia bolt au mi sijaelewa[emoji848][emoji848]?Hayo yamejengwa kwa mawe na mabeberu,,,Kuna kanisa lipo huku ushirombo lilijengwa kwa miti na mababu ( watumwa) enzi na enzi. kilikuwa Ni kituo kidogo Cha watumwa toka Burundi , Uganda, Rwanda na Tanzania kabla hawajapelekwa tabora kituo kikuu then zenji.ukiliona kenchi zake na bolt zake kwa Sasa hakuna miti ya namna hiyo.