Kibosho Catholic Church lina umri wa miaka 130: Kwanini hili Kanisa lisiwe kivutio cha utalii?

Acha uwongo haiwezi kuwa miaka hiyo
Sawa.
Nimefika kwenye msikiti huo. Nimepiga picha za ndani na kwenye Bango ambalo limeandika historia hiyo. Picha zipo kwenye laptop yangu. Nikipata muda nitaweka humu.
Then utajua kuwa mie ni muongo au la.
 
Zuri sana,hata mazingira yalivyo kama mbele kabisa.
 
Moshi yote cjaona kanisa la kale lenye mvuto kama hili, nilishasali hapa nikiwa kibosho hospital,,, ni moja ya hazina ya kanisa catholic Tanzania
Hakika tembea yangu sijaona kanisa la zamani kubwa na design ka ile,naona ulaya tu
 
Siyo kibosho umbwe ni kibosho msinga kanisa lipo karibu na hospital ya kibosho msinga hapo hapo kwa chini kuna chuo cha muda mrefu sana.
Linafanana mno na la kibosho umbwe
 

Tanzania tumejikita kwenye utalii wa vitu natural tuu, wenzetu kama India wanapiga hela za utalii sana kutoka kwenye majengo ya kihistoria lakini pia wanajenga majengo unique ili kuvutia wataliii mfano India kuna lotus temple linavuta watalii mno!

Dubai wanajenga majengo vivutio kila leo, ni projects kabisa
 
Kuna mjinga humu kasema mzungu hawezi kushangaa alichojenga yeye....nimemdharau sana
 
Kuna mjinga humu kasema mzungu hawezi kushangaa alichojenga yeye....nimemdharau sana

Tumepishana uwezo wa kufikiri na mitizamo mkuu, mpotezee! Kikubwa hao ndiyo waswahili walivyo, kukatishana tamaa na kufelishana kabla ya kuanza kufanya jambo.

Ukikomaa ukafanikiwa wanageuka na kusema tulimshauri sisi mpaka katoboa😂😂😂

Kuna Wajerumani nilikutana nao miaka ya nyuma kidogo walikuja kuangalia Chuo cha Uongozi wa Mahakama (IJA), waliyasoma hayo majengo kwenye maandiko huko kwao na waliyajenga wao!

Hapo vipi?
 
wazungu, maana una mentality za kikoloni.
Hao wachagga wenzako wa kirima, umbwe, sakaeni, kibosho kati, mwengu, sungu juu na chininndio watalii, nyie mnabeza wazungu et hawatutakii mema alafu mnataka waje kutaliii?
Ww utakua umesoma Umbwe au Lyamungo maana umekariri chocho zote za Kibosho
 
Tena unakuta kuna mengine ya kale kweli halafu makubwa na adornment zake zimesimama mpaka leo, vioo vipo vilevile (mfano westminister abbey).

Mabeberu wenyewe wanashangazwa na engineering skills za wajenzi wa muda huo ukizingatia kulikuwa hakuna chuo cha masomo hayo.

Hayo makanisa ya miaka 100-200 yapo kibao sasa hivi watu wananunua wanageuza nyumba binafsi za kuishi sema awaruhusu tu kuvunja structure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…