Kibosile amtema Tunda baada ya kugundua anachepuka na Diamond

Dada zetu Mna Moyo..



Ni kazuri kwa muonekano lakini akili hakana, ila sura hizo kwa Moshi, Singida na Arusha ni za kawaida japo kuna mijinga inajifarijigi kwa kuungua kwao kwa meno japo si wote kutokana na maji ya uko kipindi wakiwa utotoni
 
Najiuliza mapenzi ni shape, ndumba, uportable, sarakasi nyingi kitandani na mavilio mauno au umaarufu maana huyo tunda kapitwa na mademu wengi
Kitakuwa kichwawi hiki[emoji6][emoji6][emoji6]hakina hata nyama lakini humu kina uzi zaidi ya kumi hadi wengine nimekuta wanakifananisha na selena gomez nilicheka kupaliwa, hiki kitoto walai ni kichawi khaaah.
 
Ni yule mtoto wa Afande sele??
Hapana ni mtoto wa askari mmoja Morogoro anaitwa Saba Sita ila sijui kama bado Yuko Moro.Nilikuwa nawaza Saba Sita kaukwaa mkwanja maana mtoto siyo kwa Bata zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…