Kibosile amtema Tunda baada ya kugundua anachepuka na Diamond

Kibosile amtema Tunda baada ya kugundua anachepuka na Diamond

Hadi linajirecord eti kujieleza lilikuwa zenji kawaida tu, nahisi ni kiki za kina wema kumiliki nyumba hatimaye kodi ikaisha na kukamatwa anaiba umeme, na wanapenda kumtumia muasisi wa kiki East Africa cha domo, anawaonja then anawarithisha kwa macameran wake kiki linazungukia wcb, harmonise na gume waliishia wapi, mtaumbuka acheni kiki , nyumba ya milioni mia hupigii picha kutwa unapiga picha ukiwa kwenye vyoo vya mahotel uko Kenya
 
Wenye watoto wa kiume, watoto wenu wakifikia balehe msiwabane, waacheni wapitie hii hali ili wakikua wasiwe mabwege wa kuhonga kina Tunda aka "Fruit" Mil 100 enzi hizi za bro Magu
 
inasemekana etii, shilawadu nawaona mnavyo comment
 
Kwa hiyo baba Tunda,Afande wa Jeshi la Polisi na yeye anamuombea mwanae Msamaha aendelee kugegedwa na Kibosile?

Hivi wazazi wake wana nia nzuri kweli na mtoto wao? Kwa nini wasimpigishe chini huyo jamaa na wamuelezee kuwa sasa amchukue Tunda Jumla jumla yaani wakaanze Familia?

Au wao wanajali Pesa tu?

Kweli Wachagga ndugu zangu Noma sana.

Tatizo kibosile mume wa mtu na ana mtoto mkubwa angewahi kuzaa angemzaa Tunda
 
7fd210ffe20caff42d76fdc3b08402db.jpg


KHA......!
 
Wanasema n Yule mwwndishi wa Hawa the bus driver Na mabala the farmer
Aaaahaaaa, Richard Mabala....??? U cant b serious, nakaa nae hapa mtaani kinondoni kachoka kichiz kapanga kijumba analipa 200000 ndo anaweza miliki huo mzigo??? Mwacheni Mabala wa Mabalaa ajilie pensheni yake baada ya kazi ngumu ya kulielimisha taifa hili
 
Back
Top Bottom