Kibu arudisha pesa za kwenye account ya Simba

Unaweza ukarudisha hela na bado ukawa hujakidhi vigezo vya kuvunja mkataba , vigezo vya kuvunja mkataba huwa inawekwa pesa nyingine tofauti kabisa na ya usajili
Hapana mkuu...kibongo bongo its enough
 
Hebu acheni ubwege basi hata kama umempa mtu dunia yote peke yake,akaja bwege akampa dunia na sayari zake....atakutorokaaaaa.......tuuuuuu,!

Mnalazimisha mtu????Huo ni ubwegeeeeeeeeeee!Achaninae aendeeee.........na mbaki na pisi kavu za njirooooo😜😜😜😜
 
Anarudisha pesa kama simba walinunua vitumbua kwake?

Hivi huko kwenye soka si kuna sheria na kanuni zake za kuvunja mikataba? Au ukirudisha tu pesa inakuwa umemaliza?

Nadhani ukosefu wa Elimu unachangia sana. Yaani kama ingekuwa hivi sijui kama kuna taasisi zingekuwepo hapa Duniani. Sijajua nani anamdanganya na kwa manufaa gani. Hii tabia ikiendelea ni hatari sana kwa soka letu. Kwamba mchezaji akijisikia tu anarudisha pesa analala mbele? Tutafika kweli?
 

Jamani mbona kwa Feisal mliona rahisi tu, muacheni Kibu aweke hela atembee kachoka kubeba ndoo za sabuni.
 
Hivi anadhani Simba mbumbuu kiasi hicho, wachezaji wao wote huwafunga na kipengere cha kuvunja mkataba, alichofanya ni utapeli na wizi wa kuaminiwa.

Walio nyuma yake wanamdanganya

Wanamdanganya vipi? Si kaweka hela kwenye account kama Fei shida nini? Haya mambo tulijua tu huu upuuzi utaendelea baada ya sakata la Fei.
 
Hela za Mkataba zinarudi bila makubaliano mengine tena..hawa jamaa nani anawadanganya kufanya hivi kama kweli atakua karudisha hela bila kukaa mezani kafanya mambo ya kiboya sana..
sisi yanga tulikataa msishadadie alichofanya Fei coz tuliona mbali sana ona sasa yamewakuta yale yale kwanini msiwe wapole?
 
Wanamdanganya vipi? Si kaweka hela kwenye account kama Fei shida nini? Haya mambo tulijua tu huu upuuzi utaendelea baada ya sakata la Fei.
tuliwaambia wasimshanglie Fei wakaona sisi makolo kama wao sasa wanalia lia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…