mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke