Kibu Denis atapanya zaidi ya milioni 200 Ulaya akisaka timu, aangukia pua! Awaomba radhi Simba

Kibu Denis atapanya zaidi ya milioni 200 Ulaya akisaka timu, aangukia pua! Awaomba radhi Simba

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.

Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.

Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.

Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
 
Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.

Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.

Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.

Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yanga
 
Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.

Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.

Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.

Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Wewe mleta mada huenda utakuwa demu wa Kibu Denis aliyekupiga chini baada ya kukutumia.
Maana unaleta taarifa za Matumizi ya pesa za kibu Denis kwa kina kuliko hata Kibu Denis mwenyewe.
 
Asubuhi mpaka usiku wa manane ni simba na yanga. Hivi hakuna mada nyingine????
Taifa gani hili
 
Back
Top Bottom