Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Kauli kama hizi hutolewa na washamba pamoja na wazee wanonko.Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli kama hizi hutolewa na washamba pamoja na wazee wanonko.Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yanga
Na wewe unatoka Kigoma? Maana utulivu ni O kama Kibu.Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Wewe ni Gen z wa Tanzania ama Kenya?Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yanga
Usikute jamaa bado anakula nyumbani kwa mama yake, hata bei ya kiwanja vikindu haijui.Hamia Kenya sisi tuko hapa toroka uje tunakula maisha.
Hatua nilichukua ni kuwaelimisha kwanza Mandondocha kama wewe ya simba na yangu pamoja na udaku mwingine kupitia jf wafualie mambo ya msingi ya kitaifa na muachane na udaku wa kina mwijakuWewe ni Gen z wa Tanzania ama Kenya?
Kama ni wa Tanzania, umeshachukua hatua gani mpaka sasa kuitetea nchi yako?
Kama ni bado, unamngoja nani aanzishe kuitetea Tanzania?
Lakini huyo Mwijaku muko nae huko kwenye sihasa (Tanzania, Africa bado hakuna siasa safi) huku kwenye michezo hutuko nae.Hatua nilichukua ni kuwaelimisha kwanza Mandondocha kama wewe ya simba na yangu pamoja na udaku mwingine kupitia jf wafualie mambo ya msingi ya kitaifa na muachane na udaku wa kina mwijaku
Hajui hapa wamejaa simba wenye njaa,alete tu mchezo.Heading ina maelezo kuliko content.
Nakuhakikishia kwe derby atacheza Simba hawana timu ya kumuwela benchi kibuHivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Bado hawajasemaKibu Denga, Lameck Lawi ni pigo kwa makolo.
Kwenye michezo mko naye ni mhamasishaji rasmi wa simbaLakini huyo Mwijaku muko nae huko kwenye sihasa (Tanzania, Africa bado hakuna siasa safi) huku kwenye michezo hutuko nae.
Hiyo hatua uliyo chukua ya kuelimisha mandondocha kama mimi (wenda hata baba yako ni mpenzi wamichezo pia) haisaidii chochote, nakushauri jilipue na mafuta ya taa kama yule mwenzio wa Tunisia.
Wote wataomba radhi, na hawawezi kucheza bila kuifuata Simba. Waulize au fuatilia kauli za sasa za viongozi wa Coastal Union, wamekuwa wadogo hadi wanasema Simba na Coastla Union wana mahusiano mazuri, wakati wiki chache zilizopita walikuwa wanapandisha mabegaKibu Denga, Lameck Lawi ni pigo kwa makolo.
Subiri tarehe 4, halafu 8, maana mtakuwa na siku chache za kupumzika 😂😂😂Subirini tarehe 8
Usitweze utu wa mtu kisa mkimbizi, Mungu akusaidie uelewe wakimbizi nao ni watanzaniaHivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Simba ni timu ya ajabu, walipaswa kumsaidiaUraia ametafutiwa na Simba alitakiwa kuwa na moyo wa shukrani kwa kufuata taratibu sio kuleta uhuni
Hakuhitaji msaada wa Simba, aliamini ataweza kwa juhudi zake mwenyeweSimba ni timu ya ajabu, walipaswa kumsaidia