Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yangaHivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Wewe mleta mada huenda utakuwa demu wa Kibu Denis aliyekupiga chini baada ya kukutumia.Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri.
Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi.
Kibu Denis ana jinamizi au pepo la ukimbizi,akili haiko sawa ndio maana hata uwanjani utulivu ni 0,anatumia nguvu nyingi akili iko ulaya.
Atafutiwe mwanasaikolojia au simba wamkomoe akae benchi mpaka mkataba uishe akili zimkae sawa,wenge limtoke
Acheni upumbavu, kibu ninmchezaji wa timu ya taifa. Hana furaha simba mwacheni atafute timu itakayompa furahaSimba wamshitaki kwa kosa la utoro apigwe faini na baada ya hapo aondolewe kikosi cha kwanza na hata bench asiwepo had amalize mkataba
Sio benchi TU! Hata pale bunju asionekaneSimba wamshitaki kwa kosa la utoro apigwe faini na baada ya hapo aondolewe kikosi cha kwanza na hata bench asiwepo had amalize mkataba
Kichwa unatumia kama mfuniko wa shingo ila hakikusaidii kama hana furaha alitakiwa asisaini mkataba na simbaAcheni upumbavu, kibu ninmchezaji wa timu ya taifa. Hana furaha simba mwacheni atafute timu itakayompa furaha
Nauli ya kuzurura huko ulaya kutafuta timu ya ndoto yake ungempa wewe? Wewe hicho kichwa chako kama boga tu, uselessKichwa unatumia kama mfuniko wa shingo ila hakikusaidii kama hana furaha alitakiwa asisaini mkataba na simba
Unalambwa na kibu denisNauli ya kuzurura huko ulaya kutafuta timu ya ndoto yake ungempa wewe? Wewe hicho kichwa chako kama boga tu, useless
Kibu D kawalamba nyie wote ndio maana sasa mnalia lia usingle mother, hahahaUnalambwa na kibu denis
Basi kubali unalambwa na mzee magoma tumalize ubishiKibu D kawalamba nyie wote ndio maana sasa mnalia lia usingle mother, hahaha
Mzee magoma si kitulizo chenu makolo, makolo wote mikia juu mkimsikia mzee magoma anaongea sasa hapo unasemaje hayo tena?Basi kubali unalambwa na mzee magoma tumalize ubishi
Hii hua inatusaidia sana sisi tunaosoma heading alafu comments then mwisho kama kuna ulazima contentHeading ina maelezo kuliko content.
Hamia Kenya sisi tuko hapa toroka uje tunakula maisha.Gen z wa Kenya wanaandama kuitetea nchi yao Genz wa Tanzania wanajadili ushirikina wa simba na yanga
Unakula maisha au unaliwa maishaHamia Kenya sisi tuko hapa toroka uje tunakula maisha.
mimi ni nyuma mwiko tunakula tu hatuliwiUnakula maisha au unaliwa maisha