Kibu ndiyo victim na siyo Simba SC, hakupewa milioni 400

Kibu ndiyo victim na siyo Simba SC, hakupewa milioni 400

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.

Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.

Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.

Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.

Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?

Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.

So Kibu hajapewa milioni 400. Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.

Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.

So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
 
Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.

Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.

Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.

Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.

Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?

Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.

So Kibu hajapewa milioni 400.
Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.


Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.

So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
Umetokea kigoma sehemu gani home boy
 
Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.

Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.

Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.

Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.

Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?

Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.

So Kibu hajapewa milioni 400.
Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.


Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.

So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
Tatizo unaendekeza umbea kuliko uhalisia.

Meneja wa Kibu jana alizungumza hadharani kabisa kwamba Kibu haidai Simba chochote alishapewa hela zote za usajili na kwamba yeye kama Meneja wa Kibu anashangazwa na kitendo alichofanya Kibu.

Meneja alikiri kulipwa hela yake pia ila tu alikuwa bado hajamaliziwa hela ya usajili wa Mohamed Hussein pamoja na Hussein Kazi.

Sasa wewe na Meneja wa Kibu unataka tukuamini wewe ambaye hujawahi hata kupiga picha na Kibu?
 
Tatizo unaendekeza umbea kuliko uhalisia.

Meneja wa Kibu jana alizungumza hadharani kabisa kwamba Kibu haidai Simba chochote alishapewa hela zote za usajili na kwamba yeye kama Meneja wa Kibu anashangazwa na kitendo alichofanya Kibu.

Meneja alikiri kulipwa hela yake pia ila tu alikuwa bado hajamaliziwa hela ya usajili wa Mohamed Hussein pamoja na Hussein Kazi.

Sasa wewe na Meneja wa Kibu unataka tukuamini wewe ambaye hujawahi hata kupiga picha na Kibu?
Siasa.
Alisema hivyo kwa maelekezo maalumu.
zakuambiwa ....
 
Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.

Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.

Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.

Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.

Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?

Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.

So Kibu hajapewa milioni 400.
Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.


Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.

So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
Kibu ndo nini kwani
 
Back
Top Bottom