Kibu ndiyo victim na siyo Simba SC, hakupewa milioni 400

Kibu ndiyo victim na siyo Simba SC, hakupewa milioni 400

Probably hakusaini pengine alitoa ahadi angesaini baada ya kurejea kutoka Marekani, mbele ya wakala wake na wanasheria wake... Wangeshaweka picha Kibu akiwa akiwa ana saini.
Mambo ya picha ni kutojiamini, na wala sio ushahidi. Ushahidi mzuri ni signature na fingerprint, hapo hachomoki mtu. Msimamizi wake amesema Kibu amesaini Simba hadi 2026 na haidai kitu Simba, hata naye anashangaa.
 
Mimi ni simba haswaa
Ila hizi team zetu za kariakoo sio za kuamini kabisaaa

Nikikumbuka Extension ya Kibu ilivotangazwa bila hata interview wala picha napata wasiwasi
Magoma una jicho la mwewe.
 
Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.

Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.

Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.

Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.

Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?

Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.

So Kibu hajapewa milioni 400. Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.

Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.

So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
Kibu kupewa mil.409 siyo sahihi na huo hata Mimi nakubali ni uongo. Lakini Bonafide claim of right ina masharti yake siyo hivi.
 
Kibu kupewa mil.409 siyo sahihi na huo hata Mimi nakubali ni uongo. Lakini Bonafide claim of right ina masharti yake siyo hivi.
Masharti yake ni yapi?
 
Mambo ya picha ni kutojiamini, na wala sio ushahidi. Ushahidi mzuri ni signature na fingerprint, hapo hachomoki mtu. Msimamizi wake amesema Kibu amesaini Simba hadi 2026 na haidai kitu Simba, hata naye anashangaa.
Hashangai ila anaigiza kushangaa.
 
Arudi Simba vipi wakati hakusaini. Au mnataka kumfanyia kama mlivyo mfanyia Mwameja?
Tatizo utopolo hamjajipanga vizuri na drama. Wengine mnasema hakupewa hela, wengine kwenye uzi mwingine wanasema amerudisha hela. Sasa atarudishaje hela ambazo hakupewa? 😁😁😁
 
Kibu anataka pesa yake acheze mpira.... Kinachosikitisha washabiki wa SANDA FC wanapelekwa kipuuzi....mpenzi pesa yake acheze mpira.
. Acheni janjajanja!!.
 
Mtu wa karibu wa Kibu hawezi kudanganya, kwa ukaribu mlionao hauwezi kutudanganya.
 
Siasa.
Alisema hivyo kwa maelekezo maalumu.
zakuambiwa ....
Tuseme wewe ni mke wa Kibu? Inawezekana ni mwandani wake wa kike, maana si kwa kuleta ujuaji kumzidi Meneja wa Kibu.

Haya Mrs.Kibu tuambie na hili, gari anarudisha lini?
 
Back
Top Bottom