Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
🤔🤔🤔🤔So amekwenda wapi sasa!!???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🤔🤔🤔So amekwenda wapi sasa!!???
Huzijui taasis za bongo wewe?? Full ubabaishaji..mpaka serikal na taasis zake kuongopea watendaji wake na wanachi kwa ujumla ni kitu cha kawaida kabisaa.Hakuna aibu hata kidogoKwanini taasisi kubwa imdanganye mtu! Au itamke uongo!
Ukishasaini tu huchezi kwingine, iwe umelipwa au hujalipwa. FIFA ndio wanaoiadhibu timu inayoshindwa kuwalipa wachezaji au makocha kwa kuifungia usajili mpya. Kibu na Lameck Lawi hawawezi kucheza popote bila kurudi kwa SimbaSo baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
changanya na bhangeSiasa.
Alisema hivyo kwa maelekezo maalumu.
zakuambiwa ....
labda timu ya mtaani.Norway kapata timu
Probably hakusaini pengine alitoa ahadi angesaini baada ya kurejea kutoka Marekani, mbele ya wakala wake na wanasheria wake... Wangeshaweka picha Kibu akiwa akiwa ana saini.Ukishasaini tu huchezi kwingine, iwe umelipwa au hujalipwa. FIFA ndio wanaoiadhibu timu inayoshindwa kuwalipa wachezaji au makocha kwa kuifungia usajili mpya. Kibu na Lameck Lawi hawawezi kucheza popote bila kurudi kwa Simba
Kwa hiyo wewe ndio unaujua ukweli na si manager wake?Maneno ya kisiasa. Alipewa maelekezo maalumu
Mdanganya mwenzio.na mpotosho.Hakuna timu isiyo ya mtaani hata Simba ni timu kutoka Mtaa wa Msimbazi
Mpenzi wake au ?Usimbishie jamaa, usikute ni mtu wake wa karibu...!
Mimi sijasema!Mpenzi wake au ?
Kwamba wewe unajua zaidi kuliko Msimamizi wake sio?Za ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.
Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.
Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.
Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.
Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?
Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.
So Kibu hajapewa milioni 400. Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.
Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.
So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
kwa hyo kwa mawazo yako ni mchezaji huru?Arudi Simba vipi wakati hakusaini. Au mnataka kumfanyia kama mlivyo mfanyia Mwameja?
Likud, mwaka huu nani anabeba nyota ya YangaZa ndani kabisa. Kibu hakupewa milioni 400.
Kibu alipewa milioni hamsini tu na hiyo ni sehemu ya deni lake la nyuma ambalo alikuwa anawadai Simba hawakummaliziaga signing fee yake.
Kwa hiyo Kibu alicho kifanya ni kile wanacho kiita wanasheria " Bona fide Claim of Right". Amejilipa haki yake mwenyewe.
Ni ngumu sana kwa mchezaji wa mpira wa miguu kupewa milioni 400 na kukimbia wakati mpira ndio kazi yake. Atacheza vipi mpira kwa staili hiyo katika dunia hii ya utandawazi.
Mnamuona Kibu hana akili? Yani asaini milioni 400 halafu akimbie?
Kama una amini hiyo story basi hata nikikwambia nenda kamwambie baba ako kwamba Mimi Likud nimesema kwamba kesho atakufa na kwenye mazishi yake itanyesha mvua ya mawe basi utaamini kweli.
So Kibu hajapewa milioni 400. Simba hawana milioni 400 ya kumlipa mchezaji.
Kibu alikuwa anawadai Simba deni la nyuma ambalo ndio walimpa hiyo milioni 50.
So baada ya jamaa kuchukua milioni 50 yake akayeya.
Achana na huyo Mauzinde lopolopo.Tatizo unaendekeza umbea kuliko uhalisia.
Meneja wa Kibu jana alizungumza hadharani kabisa kwamba Kibu haidai Simba chochote alishapewa hela zote za usajili na kwamba yeye kama Meneja wa Kibu anashangazwa na kitendo alichofanya Kibu.
Meneja alikiri kulipwa hela yake pia ila tu alikuwa bado hajamaliziwa hela ya usajili wa Mohamed Hussein pamoja na Hussein Kazi.
Sasa wewe na Meneja wa Kibu unataka tukuamini wewe ambaye hujawahi hata kupiga picha na Kibu?