Ole jaminati
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 242
- 223
Slow slow anaweweseka kwisha kabisaKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Vipi mnataka kumpiga risasi 36 kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu?Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Kama ni wewe ukipewa mamlaka ya kumvua mtu ubunge. Tupe sababu hata mbili ambazo ungetumia kumvua Polepole ubunge?Hivi kikatiba sami ahawezi mtoa/mvua ubunge
Atapigwa risasi na wasiojulikanaMwisho wake ni upi sasa mbona habari yako haijafika mwisho?
CCM huwa ina sababu za maana?Kama ni wewe ukipewa mamlaka ya kumvua mtu ubunge. Tupe sababu hata mbili ambazo ungetumia kumvua Polepole ubunge?
Kuna tetesi kwamba alikuwa anapokea milioni 6 ili kupitisha majina majina ya wagombea ubunge kupitia CCM.Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Atulie tuli,naye ni mmoja wa wanasiasa wako kama kinyongaKwanini aombewe?
Halafu unaweza kuta yeye hata hauhitaji huo ubunge wala hayuko ki-chama vileee ila wewe unastresika kumtafutia maombi hapa.
Wewe unafikiri Polepole mtoto au kapungukiwa ufahamu?
Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa
Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu
Atulie tuli,naye ni mmoja wa wanasiasa wako kama kinyonga
Kila zama na kitabu chake
Ova
Ni kupakwa mate labdaMwisho wake ni upi sasa mbona habari yako haijafika mwisho?
Kwani si fisadi amejilimbikizia Mali au siyo tena bwashee? aKatika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.
Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.