Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Slow slow anaweweseka kwisha kabisa
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Vipi mnataka kumpiga risasi 36 kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Kuna tetesi kwamba alikuwa anapokea milioni 6 ili kupitisha majina majina ya wagombea ubunge kupitia CCM.
 
Kwanini aombewe?

Halafu unaweza kuta yeye hata hauhitaji huo ubunge wala hayuko ki-chama vileee ila wewe unastresika kumtafutia maombi hapa.

Wewe unafikiri Polepole mtoto au kapungukiwa ufahamu?
Atulie tuli,naye ni mmoja wa wanasiasa wako kama kinyonga
Kila zama na kitabu chake

Ova
 
Sijaona kosa lake..., Ingawa sikubaliana na vyote anavyoongea ila sioni kosa la kuongea kwake

“I might disagree with what you say, but I will defend to the death your right to say it”
 
Hiyo paragraph ya pili inahitaji PhD mpaka uelewe kilichoandikwa

Anyway but me namkubali Polepole anaongea ukweli na ana element za umagu

Ingeweza kusema ana element za Chatto ungeeleweka tu
 
Katika fikra zake, Polepole anaamini yeye ni zaidi ya chama kilichompa ubunge viti maalum. Yeye ndiye Msomi na yeye ndiye Mbunge mkubwa wa chama na vilevile yeye ni mwenye pumzi ya chama anaweza kutikisa kwasasa.

Muombeeni Polepole, anapoeleka ni kubaya zaidi alipotoka yeye si katibu mwenezi wa chama kuondolewa ndani ya chama. Ashukuru Mwendazake alimpatia nafasi ya viti maalum leo hii wangekuwa wanampaka mate tu.
Kwani si fisadi amejilimbikizia Mali au siyo tena bwashee? a

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom