Kibwana Shomari bado ni beki mzuri na mbishi hasa

Kibwana Shomari bado ni beki mzuri na mbishi hasa

Right eye

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
1,149
Reaction score
1,994
Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani..

Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini kama ni mtu ambae hajapata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu.
IMG_2265.jpeg

Jamaa anajua kukaba anajua kushambulia na anapiga pasi za uhakika sana.

Kudos mshambuliaji wa zamani kocha ameamua kukuamini nawe fanya namna urudishe ule ubora wako wa kipindi cha Nabi.
 
Huyu jamaa anafanya vitu vingi kwa usahihi, Gamondi alitaka kumuua kiwango chake
Yule Gamondi akishamkariri mchezaji, basi ni huyo huyo! Hata kama anaumwa, au ana fatique! Atachezeshwa tu hivyo hivyo!! Wachezaji wengi waliachwa nje bila ya sababu za msingi, na hivyo kupelekea timu kukosa balance.
 
Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani..

Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini kama ni mtu ambae hajapata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu.

Jamaa anajua kukaba anajua kushambulia na anapiga pasi za uhakika sana.

Kudos mshambuliaji wa zamani kocha ameamua kukuamini nawe fanya namna urudishe ule ubora wako wa kipindi cha Nabi.
Kibwana Yuko vizuri gamond alikuwa na chuki zake binafsi alikuwa anaona ni Bora amchezeshe nkane kuliko kibwana mwenye namba yake,,kiufupi gamond alikuwa anaelekea kubaya
 
Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani..

Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini kama ni mtu ambae hajapata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu.

Jamaa anajua kukaba anajua kushambulia na anapiga pasi za uhakika sana.

Kudos mshambuliaji wa zamani kocha ameamua kukuamini nawe fanya namna urudishe ule ubora wako wa kipindi cha Nabi.
Dogo yuko njema sana, kacheza mbavu zote mechi 2 vizuri sana.
 
Bila shaka wakinijibu tuu wew na mazembe chap
Watamkataa tu huyo Kibwana. Hao kina Kibabage na Nkane waliwasifia leo wanawakana mara 3.

Wachezaji wa uto wana roho za kukataliwa na mashabiki wao wenyewe. Walipeleke hili katika maombi pia.
 
Back
Top Bottom