Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafanya sub ya debora mafamboWanashinda kwa Prison wanasema team imeimarika.
Nawauliza kocha kashajua kufanya sub
Na Baleke naye, sijui shida ninFaridi na Kibwana sijui shida nini....bado Mkude nae.....
Ila kabla ya kuonjeshwa asali mlishangilia Nkane alivyopangwa nafasi hiyo hiyoGamondi alinishangaza yaani anampa shavu la kulia Nkane mechi ngumu na wale Tabora huku Shomari akiwa kakalia mbao nilishangaa sana kwenye huu mpira bora aliondolewa aisee angeendelea kuua viwango vya wachezaji wengi tu.
Mi mpira najua kwa kuucheza niliona makosa sana hasa kwenye gemu mbili..Ila kabla ya kuonjeshwa asali mlishangilia Nkane alivyopangwa nafasi hiyo hiyo
Khaaaaa....Mkude piaNa Baleke naye, sijui shida nin
Mkude mbona pia hachezi? Hana nishati?Yule Gamondi akishamkariri mchezaji, basi ni huyo huyo! Hata kama anaumwa, au ana fatique! Atachezeshwa tu hivyo hivyo!! Wachezaji wengi waliachwa nje bila ya sababu za msingi, na hivyo kupelekea timu kukosa balance.
Yao alivyoshuka kiwango msimu huu, ana kazi ya kufanya kumpokonya Kibwana hiyo namba. Nilitamani upande wa Kibabage nako kungekuwa na watu wenye viwango vikubwa zaidi ya hao wakina KibabageJana kwenye mechi ya Young African dhidi ya Tp Mazembe ndio kadhibitisha ubora wake kijana kacheza vizuri sana mbavu ya kulia unaweza kuzani Yao yupo uwanjani tu..