Kibwana Shomari bado ni beki mzuri na mbishi hasa

Kibwana Shomari bado ni beki mzuri na mbishi hasa

Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani..

Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini kama ni mtu ambae hajapata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu.

Jamaa anajua kukaba anajua kushambulia na anapiga pasi za uhakika sana.

Kudos mshambuliaji wa zamani kocha ameamua kukuamini nawe fanya namna urudishe ule ubora wako wa kipindi cha Nabi.
Kwa hizi timu za Prison na wale Mashujaa?...
 
Watamkataa tu huyo Kibwana. Hao kina Kibabage na Nkane waliwasifia leo wanawakana mara 3.

Wachezaji wa uto wana roho za kukataliwa na mashabiki wao wenyewe. Walipeleke hili katika maombi pia.
Wanashinda kwa Prison wanasema team imeimarika.

Nawauliza kocha kashajua kufanya sub
 
Hamna mchezaji pale, wewe subiri siku akutane na winga teleza ndio utakua.
 
Back
Top Bottom