Kwani matokeo ya Mazembe na Yanga yalikuwaje huko kwao Lubumbashi? Tena Yanga ambayo Mjerumani kaichukua siku chache na kacheza mechi chache tu. Kwavile nyie ni wateja wa Mazembe usidhani na Yanga ni mteja wa Mazembe vilevileKwahiyo mmeimarika Mazembe waje?
Kwa hizi timu za Prison na wale Mashujaa?...Kibwana Shomari ni mtu bado wa maana sana alikosa kuaminika na Gamondi hili sijui lilitokeaje lakini ni beki anaejua vizuri majukumu yake uwanjani..
Nimemuona kwenye hizi mechi mbili huwezi amini kama ni mtu ambae hajapata nafasi ya kucheza kwa muda mrefu.
Jamaa anajua kukaba anajua kushambulia na anapiga pasi za uhakika sana.
Kudos mshambuliaji wa zamani kocha ameamua kukuamini nawe fanya namna urudishe ule ubora wako wa kipindi cha Nabi.
Uto watapigwa wachakae!.Kwahiyo mmeimarika Mazembe waje?
Afadhari hata Mazembe hua wanajikaza wanapata draw sio nyie msipo chomekewa mnajichomekeaBila shaka wakinijibu tuu wew na mazembe chap
Hao ambao wameshakubanjua mara mbili kule kigomaKwa hizi timu za Prison na wale Mashujaa?...
Waje tu WASHENYENTAJI tupo tayari.Kwahiyo mmeimarika Mazembe waje?
Kocha nae anaweza kufanya Sub au bado?pWaje tu WASHENYENTAJI tupo tayari.
Siyo Mazembe hata makolo na mkuje tuwachenyeteMkuu, wakikujibu nitag
Haswa ,kocha kama mzazi hakutakiwa kumtendea vibaya kibwana.Kocha mjinga kisirani.
Safi,Jibu muluwa kabisa kwa kolo.Kwani matokeo ya Mazembe na Yanga yalikuwaje huko kwao Lubumbashi? Tena Yanga ambayo Mjerumani kaichukua siku chache na kacheza mechi chache tu. Kwavile nyie ni wateja wa Mazembe usidhani na Yanga ni mteja wa Mazembe vilevile
Sawa bwana Kocha kashajua kufanya Sub lakini?Safi,Jibu muluwa kabisa kwa kolo.
Alisikika Mbu*3 aliyemkataa Mutale.Watamkataa tu huyo Kibwana. Hao kina Kibabage na Nkane waliwasifia leo wanawakana mara 3.
Wachezaji wa uto wana roho za kukataliwa na mashabiki wao wenyewe. Walipeleke hili katika maombi pia.
Wanashinda kwa Prison wanasema team imeimarika.Watamkataa tu huyo Kibwana. Hao kina Kibabage na Nkane waliwasifia leo wanawakana mara 3.
Wachezaji wa uto wana roho za kukataliwa na mashabiki wao wenyewe. Walipeleke hili katika maombi pia.
Huyo Said Kichwa watamla kichwa kabla hata ya siku ya wapendanaoWanashinda kwa Prison wanasema tram imeimarika.
Nawauliza kocha kashajua kufanya sub
Huyo Said Kichwa watamla kichwa kabla hata ya siku ya wapendanao
Nan Ong BakSawa bwana Kocha kashajua kufanya Sub lakini?
Nan Ong Bak