Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Viongozi wa YANGA kulifuatilia hili itakuwa wamechizika nao. Hivi utafuatilia mangapi? YANGA ni club kubwa haiwezi kufuatilia kila Ujinga mnaoeneza ngada FC. Haipo hiyo
Unanikosea
Rudi usome tena labda kama kiswahili ni shida kwako.
Nani ngada fc? Umenikosea sana mimi si shabiki wa Simba .
 
Mchezaji alikaa benchi alimind ajaingia wanaoingia matura tu si unajua Waarabu hawakai na kitu moyoni akaropoka tu mpaka kocha akataka kumpiga na kopo la Juice mwanzo walikua wanamzonga Refa baadae wakaona wanapigwa bila msaada wa refa ikabidi watulie wao wakawa wanaomba dk zikimbie haraka maana walikua wanaenda Mkono wale..
"Mchezaji alikaa benchi alimind ajaingia wanaoingia matura..."
Hilo neno MATURA limenichekesha sana ghafla nilihisi nipo kijiwe cha draft [emoji16]
 
Mchezaji alikaa benchi alimind ajaingia wanaoingia matura tu si unajua Waarabu hawakai na kitu moyoni akaropoka tu mpaka kocha akataka kumpiga na kopo la Juice mwanzo walikua wanamzonga Refa baadae wakaona wanapigwa bila msaada wa refa ikabidi watulie wao wakawa wanaomba dk zikimbie haraka maana walikua wanaenda Mkono wale..
Kabisa
 
Back
Top Bottom