Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Siku mamlaka za soka zikisimama imara kushughulika na mbinu za yanga shughuli yao itaishia hapo!

Hakuna siri kuwa yanga wanatumia dawa za kusisimua misuli zilizokatazwa michezoni! Nina ushahidi wa ilo kwa asilimia mia moja!

Nilipata uhakika wa ilo kwenye mechi moja iliyofanyika mkoani,hotel yanga waliofika nami nilifikia hapo kwenye shughuli zangu, niliona kwa macho yangu mabomba mengi ya sindano yaliyotumika yakienda kutupwa.

Katika udadisi wangu nilimuuliza mfanyakazi mmoja wa hotel hio hayo mabomba ya sindano yaliyotumika yaliyokuwa kwenye mfuko ni ya kazi gani? Akajibu kuwa amepewa na mmoja wa viongozi wa timu ya yanga akachome moto!

Nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na Kunguru wa Lubumbashi kwa muda mrefu,nikawaza yule CEO wao ndio master mind wa hii michezo michafu maana aliwahi kuwa kiongozi pale Lubumbashi.

Mbio za sakafuni zina mwisho huu ujanja na usamjo wa viongozi wa yanga utafika mwisho kwa aibu kubwa.
Sasa sio Majini tena 😂😂
 
Simba huwa inangia robo fainai kwa mbinde mbinde tu kila mwaka na huenda hali hiyo itajirudia tena
mwaka huu.
Wao wameingia robo ya klabu bingwa mara 3 ndani ya misimu 5, wenzao wamecheza fainali ya shirikisho barani Africa na kuingia robo fainali ya klabu bingwa ndani ya misimu 2 tu, apo utaona ni timu Gani Inasonga mbele kwa Kasi ya kimondo na utaona timu inavyocheza kwa mazoea inabaki pale pale Kila mwaka!
 
Mfani unaingia robo fainali kwà mara ya kwanza baada ya miaka 90 unafurahia mpaka mnalazwa mahospitalini wakati MASHABIKI wa Simba hiyo kwào ni kama kuingia robo fainali ya MAPINDUZI CUP.Punguzeni ujinga
 
Mfani unaingia robo fainali kwà mara ya kwanza baada ya miaka 90 unafurahia mpaka mnalazwa mahospitalini wakati MASHABIKI wa Simba hiyo kwào ni kama kuingia robo fainali ya MAPINDUZI CUP.Punguzeni ujinga
Sitashangaa mkishindwa kuingia robo fainali..!! Maana kuingia kwenu bado maombi yanahitajika..!!
 
Acha Waendelee Kufurahia Maendeleo Wakati Wanarudi Nyuma.
Wao wameingia robo ya klabu bingwa mara 3 ndani ya misimu 5, wenzao wamecheza fainali ya shirikisho barani Africa na kuingia robo fainali ya klabu bingwa ndani ya misimu 2 tu, apo utaona ni timu Gani Inasonga mbele kwa Kasi ya kimondo na utaona timu inavyocheza kwa mazoea inabaki pale pale Kila mwaka!
 
Mwaka Jana Tumecheza Final Ya Shirikisho Mwaka Huu Tukutane Final.

This is Dar Young Africans Mabingwa Wa Kihistoria Na Wa Muda Wote
Mfani unaingia robo fainali kwà mara ya kwanza baada ya miaka 90 unafurahia mpaka mnalazwa mahospitalini wakati MASHABIKI wa Simba hiyo kwào ni kama kuingia robo fainali ya MAPINDUZI CUP.Punguzeni ujinga
 
Sasa watajifichia kwenye yale mashindano ya kuchaguana yasiyo na utaratibu maalumu wa timu kushiriki Yaliyokataliwa Ulaya.
Teh teh te teeeeh.
 
Rubbish!! Mangungu anaongoza vilaza wengi sana na ndio maana Simba imeanza kuachwa mdogo mdogo na yanga kwenye mambo mengi kutokana na undezi wa viongozi wao pia utaahira wa wanachama na mashabiki wao, Mtu yeyote ambae awezi kutumia mafanikio ya mwenzake Kama somo la kufanikiwa na akawa na kichwa ngumu kukubali ukweli uyo awezi fanikiwa maisha yake yote!
Yanga kafanikiwa kutokana na uwekezaji alioufanya akuna asiyejua yanga ilikotokea, kusajili wachezaji Bora na kuwa na viongozi imara wenye kiu ya mafanikio ndio msingi wa yanga kwenye mafanikio WALIYONAYO kwa sasa, uwezi kusajili kina Onana alafu utegemee wakupe matokeo sawa na waliomsajili pacome ni uongo!
Matokeo yake ni chuki Kama hizi unazoleta hapa, izo sindano Ina maana yanga kaanza kuzitumia tokea mwaka Jana alipofika fainali ya kombe la shirikisho? Wao caf awajui isipokuwa wewe ndio unajua hizo mambo kuwazidi wao?
Na msipobadilika kwa akili hizi naiona yanga ikiendelea kutawala soka la ndani na nje kwa miaka mingi ijayo maana mawazo yenu Kama ndio Aya na viongozi wenu amtokaa msonge mbele Bali kupiga hatua 10 kurudi nyuma!
Mwazo ndio kama hayo tu, hawabadiriki, hawajifunzi.
Sasa utasikia wanasema Yanga sijui freemason, wanatumia madawa, mara sijui wanaroga na mambo mengine yenye akili za mgando.
Wacha sindano iwaingie kwanza.
Yanga ina viongozi imara wanao kubali kujifunza kila wakati, ndio maana timu imekuwa bora.
 
Sasa watajifichia kwenye yale mashindano ya kuchaguana yasiyo na utaratibu maalumu wa timu kushiriki Yaliyokataliwa Ulaya.
Teh teh te teeeeh.
Hayo mashindano waliya promote sana, nikajua yatakuwa ni mashindano makubwa yenye hadhi zaidi ya klabu bingwa lakini hakuna lolote zsidi ya pesa tu. Mshindi wa hilo kombe haendi popote, wakati klabu bingwa mshindi anaenda kucheza klabu bingwa dunia.
 
Hayo mashindano waliya promote sana, nikajua yatakuwa ni mashindano makubwa yenye hadhi zaidi ya klabu bingwa lakini hakuna lolote zsidi ya pesa tu. Mshindi wa hilo kombe haendi popote, wakati klabu bingwa mshindi anaenda kucheza klabu bingwa dunia.
Ata kwenye ayo mashindano yanga akishiriki atafanya vizuri zaidi yao, akuna jiwe watakaloacha yanga kwenye michuano yoyote, Sasa hivi wako kimyaaa wamekuwa Kama mtu aliyeshikwa ugoni Awana pa kukimbilia yanga kaweka heshima mjini uku akiendelea kuwaziba midomo na wanajua yanga Ina nafasi kubwa ya kwenda nusu fainali ya klabu bingwa kuliko wao ivyo wamepigwa na ganzi sehemu zote za mwili!
 
Kiukweli Ni Wahuni Mambo Yao Ni Janjajanja.

Mwaka 2022/23 Simba iliingia robo fainali ikiwa na point 9 wakagti timu nyingine zote zikiwa na point kuanzia 10 na hadi 16. Mwaka juzi 2021/22 hawakuingia robo fainali ya Championship ingawa wanadnanya kuwa wameingia mfululizo, badala yake waliingia robo fainali ya Confederation baada ya kutolewa kwenye Champiniship na wakaishia hapo hapo ba ya kichapo cha Orlando Pirates
 
Dawa za kusisimua misuli ni vidonge tu na wala hawatumii mabomba ya sindano CAF wana jukumu la kupima wachezaji wote na pia wakiwa na mashaka na mchezaji yeyote anaitwa na kwenda kupimwa kwenye maabara yao..unaona wachezaji wa Yanga wamechoka mpaka kupiga V pass wanashindwa mpaka kutolewa unazungumzia dawa inaonekana hakuna kitu unajua kuhusu mpira na pia hizi Timu hazikai na wageni tofauti Hotel moja hata iweje ndio maana wana book mapema kwa hilo utakua umedanganya kawatafute wengine sio hapa kwa watu wa Mpira..
BADO HAMJASEMA.
 
Back
Top Bottom