Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Siku mamlaka za soka zikisimama imara kushughulika na mbinu za yanga shughuli yao itaishia hapo!

Hakuna siri kuwa yanga wanatumia dawa za kusisimua misuli zilizokatazwa michezoni! Nina ushahidi wa ilo kwa asilimia mia moja!

Nilipata uhakika wa ilo kwenye mechi moja iliyofanyika mkoani,hotel yanga waliofika nami nilifikia hapo kwenye shughuli zangu, niliona kwa macho yangu mabomba mengi ya sindano yaliyotumika yakienda kutupwa.

Katika udadisi wangu nilimuuliza mfanyakazi mmoja wa hotel hio hayo mabomba ya sindano yaliyotumika yaliyokuwa kwenye mfuko ni ya kazi gani? Akajibu kuwa amepewa na mmoja wa viongozi wa timu ya yanga akachome moto!

Nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na Kunguru wa Lubumbashi kwa muda mrefu,nikawaza yule CEO wao ndio master mind wa hii michezo michafu maana aliwahi kuwa kiongozi pale Lubumbashi.

Mbio za sakafuni zina mwisho huu ujanja na usamjo wa viongozi wa yanga utafika mwisho kwa aibu kubwa.
Mijitu mingine mnakuwa miili tu
 
Siku mamlaka za soka zikisimama imara kushughulika na mbinu za yanga shughuli yao itaishia hapo!

Hakuna siri kuwa yanga wanatumia dawa za kusisimua misuli zilizokatazwa michezoni! Nina ushahidi wa ilo kwa asilimia mia moja!

Nilipata uhakika wa ilo kwenye mechi moja iliyofanyika mkoani,hotel yanga waliofika nami nilifikia hapo kwenye shughuli zangu, niliona kwa macho yangu mabomba mengi ya sindano yaliyotumika yakienda kutupwa.

Katika udadisi wangu nilimuuliza mfanyakazi mmoja wa hotel hio hayo mabomba ya sindano yaliyotumika yaliyokuwa kwenye mfuko ni ya kazi gani? Akajibu kuwa amepewa na mmoja wa viongozi wa timu ya yanga akachome moto!

Nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na Kunguru wa Lubumbashi kwa muda mrefu,nikawaza yule CEO wao ndio master mind wa hii michezo michafu maana aliwahi kuwa kiongozi pale Lubumbashi.

Mbio za sakafuni zina mwisho huu ujanja na usamjo wa viongozi wa yanga utafika mwisho kwa aibu kubwa.
Unamaanisha hata zile 5-1 mlizopigwa jamaa walikua wamejidunga??
 
Kabla sijadhibitisha nilichokiandika hapa! Njoo nikukague kama una marinda! Maana naona unataka kuleta ligi inawezekana huna linda! Watu wasio na marinda ndio uwa hawana aibu kabisa kubishana na uhalisia.

Mimi niliona mabomba ya sindano yaliyokwisha tumika na sio bomba moja ni mabomba mengi tu! Nikajaribu kudadisi! muhudumu akasema amepewa na mtu wa yanga akachome! Nikaunganisha dot nikapata jibu! Wewe unaleta ligi za kijinga hapa!

Suala la Simba kudaiwa kupuliza dawa kwenye dressing room lililetwa na viongozi wa yanga,hasa yule White anaeoa kila mwezi mchanga! Na yule mtumishi wa gsm ambae amepewa cheo hapo yanga anaitwa rais! Sijui toka lini rais akawa kibarua wa mwarabu
Yeye alienda mpaka kuwapokea As vita!! waliokuja kucheza na Simba hapo taifa akawadanganya na kusambaza uzushi kuwa Simba inapuliza dawa!

Kama haitoshi akawapokea kaizer Chief ya South africa akawadanganya pia,akutosheka akawapokea RS berkane akawapigia viongozi na wachezaji wa berkane simu akiwatukana viongozi na wachezaji wa Simba! Uzushi wote uliletwa na hao wawili white na uyo mtumishi wa mwarabu ambae ni rais wa kandambili.
Itengue hii kauli, maneno ya mdomoni bila ushahidi ni majanga yatakayokufika. Mdomo utakuumiza, alafu ulivyo lindezi bado unausisitiza msimamo wako. Kama bado hayajakukuta, waulizie wenzio waliowahi kukamatwa kwa njia ya vyombo vya mawasiliano. Sio kila mtu ataichukulia hii kauli kishkaji tu. Kwanza kutoa hii kauli ni kuichafua taasisi nzima ya tff, maana yanga ndio bingwa wao watz ambaye kwa kauli yako, hakuupata huu ubingwa kwa njia halal. Jiangalie wewe. Kutosoma sio ujinga, ujinga ni kutoka nje ya maadili, unakosolewa alafu bado unadinda. Yangu macho tu
 
Niliwai kusema kwamba viongozi wa Simba na wanachama wao walikuwa wamebaki kutambia mafanikio ya mechi za kimataifa misimu 4 iliyopita huku wakiibeza yanga ambayo ilikuwa inajitafuta!
Nilisema yanga ataanza kutawala ndani na kitachofata ni kutawala nje na ndicho kinachotokea kwa sasa!

Simba walibweteka na yale mafanikio ya misimu 4 nyuma wakawa wanajipiga kifua kwa kuingia robo fainali mechi za kimataifa na kuishia hapo wakati huo wenzao walikuwa na mikakati thabiti ya kutengeneza kikosi Bora na management Bora vitu ambavyo vinawalipa kwa sasa, walibezwa kuwa wamecheza fainali ya kombe la looser na timu zilizokuwepo wakadai zilikuwa ni dhaifu lakini Cha ajabu kabisa timu zile zilizokuwa kombe lile la looser ndio zimetinga robo fainali ya klabu bingwa barani Africa zikiwa na mechi moja moja mkononi!

Timu hizo ni Asec mimosas, Yanga na TP mazembe, Asec kaongoza kundi lake, Tp mazembe kaongoza kundi lake na yanga anakwenda kupambana kuongoza kundi lake!
Na wale waliocheza iyo klabu bingwa kwa sasa bado awajafuzu wanapiga hesabu za TUKI na WAKI ili waone Kama watafuzu!

Kwa maana iyo kichaka cha mafanikio ya kufika robo fainali klabu bingwa na chenyewe kimefyekwa RASMI baada ya kufyeka kile Cha kombe la shirikisho Sasa tunataka tuone watajificha Tena kwenye kichaka gani

Mechi za ndani yanga katawala na mechi za nje anakwenda kuweka historia nyingine ya kibabe kwa vitendo na sio blah blah za mitandaoni!
Hakuna awali mbovu

Bado simba ana record yake
 
Siku mamlaka za soka zikisimama imara kushughulika na mbinu za yanga shughuli yao itaishia hapo!

Hakuna siri kuwa yanga wanatumia dawa za kusisimua misuli zilizokatazwa michezoni! Nina ushahidi wa ilo kwa asilimia mia moja!

Nilipata uhakika wa ilo kwenye mechi moja iliyofanyika mkoani,hotel yanga waliofika nami nilifikia hapo kwenye shughuli zangu, niliona kwa macho yangu mabomba mengi ya sindano yaliyotumika yakienda kutupwa.

Katika udadisi wangu nilimuuliza mfanyakazi mmoja wa hotel hio hayo mabomba ya sindano yaliyotumika yaliyokuwa kwenye mfuko ni ya kazi gani? Akajibu kuwa amepewa na mmoja wa viongozi wa timu ya yanga akachome moto!

Nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na Kunguru wa Lubumbashi kwa muda mrefu,nikawaza yule CEO wao ndio master mind wa hii michezo michafu maana aliwahi kuwa kiongozi pale Lubumbashi.

Mbio za sakafuni zina mwisho huu ujanja na usamjo wa viongozi wa yanga utafika mwisho kwa aibu kubwa.
acha ujuha
 
Yaani Simba ameingia robo fainali champion's league mara nne! Amecheza robo fainali AFL mara moja! Aje afundishwe na timu ambayo imeingia robo fainali baada ya miaka 25? Kweli uko yanga wenye akili ni wawili tu
Sio tu kuingia robo....kaingia kwa kishindo na historia ambayo hamuwezi ifikia.......
 
Siku mamlaka za soka zikisimama imara kushughulika na mbinu za yanga shughuli yao itaishia hapo!

Hakuna siri kuwa yanga wanatumia dawa za kusisimua misuli zilizokatazwa michezoni! Nina ushahidi wa ilo kwa asilimia mia moja!

Nilipata uhakika wa ilo kwenye mechi moja iliyofanyika mkoani,hotel yanga waliofika nami nilifikia hapo kwenye shughuli zangu, niliona kwa macho yangu mabomba mengi ya sindano yaliyotumika yakienda kutupwa.

Katika udadisi wangu nilimuuliza mfanyakazi mmoja wa hotel hio hayo mabomba ya sindano yaliyotumika yaliyokuwa kwenye mfuko ni ya kazi gani? Akajibu kuwa amepewa na mmoja wa viongozi wa timu ya yanga akachome moto!

Nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na Kunguru wa Lubumbashi kwa muda mrefu,nikawaza yule CEO wao ndio master mind wa hii michezo michafu maana aliwahi kuwa kiongozi pale Lubumbashi.

Mbio za sakafuni zina mwisho huu ujanja na usamjo wa viongozi wa yanga utafika mwisho kwa aibu kubwa.
Akili chache
 
Itengue hii kauli, maneno ya mdomoni bila ushahidi ni majanga yatakayokufika. Mdomo utakuumiza, alafu ulivyo lindezi bado unausisitiza msimamo wako. Kama bado hayajakukuta, waulizie wenzio waliowahi kukamatwa kwa njia ya vyombo vya mawasiliano. Sio kila mtu ataichukulia hii kauli kishkaji tu. Kwanza kutoa hii kauli ni kuichafua taasisi nzima ya tff, maana yanga ndio bingwa wao watz ambaye kwa kauli yako, hakuupata huu ubingwa kwa njia halal. Jiangalie wewe. Kutosoma sio ujinga, ujinga ni kutoka nje ya maadili, unakosolewa alafu bado unadinda. Yangu macho tu
We mwanamke!njoo unipe tendo nitende kitendo!
 
Kabla sijadhibitisha nilichokiandika hapa! Njoo nikukague kama una marinda! Maana naona unataka kuleta ligi inawezekana huna linda! Watu wasio na marinda ndio uwa hawana aibu kabisa kubishana na uhalisia.

Mimi niliona mabomba ya sindano yaliyokwisha tumika na sio bomba moja ni mabomba mengi tu! Nikajaribu kudadisi! muhudumu akasema amepewa na mtu wa yanga akachome! Nikaunganisha dot nikapata jibu! Wewe unaleta ligi za kijinga hapa!

Suala la Simba kudaiwa kupuliza dawa kwenye dressing room lililetwa na viongozi wa yanga,hasa yule White anaeoa kila mwezi mchanga! Na yule mtumishi wa gsm ambae amepewa cheo hapo yanga anaitwa rais! Sijui toka lini rais akawa kibarua wa mwarabu
Yeye alienda mpaka kuwapokea As vita!! waliokuja kucheza na Simba hapo taifa akawadanganya na kusambaza uzushi kuwa Simba inapuliza dawa!

Kama haitoshi akawapokea kaizer Chief ya South africa akawadanganya pia,akutosheka akawapokea RS berkane akawapigia viongozi na wachezaji wa berkane simu akiwatukana viongozi na wachezaji wa Simba! Uzushi wote uliletwa na hao wawili white na uyo mtumishi wa mwarabu ambae ni rais wa kandambili.
Hivi inakuigia akilini kwamba Yanga wafanye hivyo vitu then mambomba wampe mhudumu wa hotel akatupe? una akili timamu kweli?
 
Back
Top Bottom