Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Viongozi wa YANGA kulifuatilia hili itakuwa wamechizika nao. Hivi utafuatilia mangapi? YANGA ni club kubwa haiwezi kufuatilia kila Ujinga mnaoeneza ngada FC. Haipo hiyo
Unanikosea
Rudi usome tena labda kama kiswahili ni shida kwako.
Nani ngada fc? Umenikosea sana mimi si shabiki wa Simba .
 
"Mchezaji alikaa benchi alimind ajaingia wanaoingia matura..."
Hilo neno MATURA limenichekesha sana ghafla nilihisi nipo kijiwe cha draft [emoji16]
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…