Mchezaji alikaa benchi alimind ajaingia wanaoingia matura tu si unajua Waarabu hawakai na kitu moyoni akaropoka tu mpaka kocha akataka kumpiga na kopo la Juice mwanzo walikua wanamzonga Refa baadae wakaona wanapigwa bila msaada wa refa ikabidi watulie wao wakawa wanaomba dk zikimbie haraka maana walikua wanaenda Mkono wale..