miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Sawa mpenzikwa kweli we lea tu mwaya kwasasa haya mengine utayakuta tu.
cc FaizaFoxyKuitwa jina Faiza nalo ni tatizo .
Hata ulivyomtaja hapa nalo ni tatizo ...
Tatizo umeanza kuhukumu kabla hujajua sababu halisi..... siku hizi watu hutengeneza habari ili wauze..... alikua anampeleka Clinic wadau walivyosema.Ndio maana nimesema huko uzungu wanao iga huko ulaya, ninamaanisha hata huko kuna wapumbavu, na sijasemea uswazi wala ushuani maana hawa wanajifanya ni wa mbele lakini wanakosea..
Huyu ni mental case tumuombee tuuNaona sasa hivi utandawazi umekuwa kwa kasi sana kichanga hakija fikisha hata siku 7(wiki moja)kinaanza kutembezwa kwenye mitaa,hili nimeliona kwa mrembo Faiza Ally.
Picha hapo chini[emoji116]
Nb:Wabobezi wa mambo ya Afya na dini hii imekaaje?piteni mtutoe tongo tongo kwenye hili.
-Ndumilakuwili-
Mifupa haijakomaa hivyo anatakiwa akae ndani mpaka itakapokomaa ndio akapewe chanjo?bado mdogo mifupa haijakomaa kupata hizo shurba, anyway nahisi hautaelewa siku ukiwa mama bora utaelewa.
NAKUPENDA RUBII
Hao Ya wenzao midomoni[emoji57]Tatizo umeanza kuhukumu kabla hujajua sababu halisi..... siku hizi watu hutengeneza habari ili wauze..... alikua anampeleka Clinic wadau walivyosema.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
tatizo hautaki kuelewa, mie pia mtoto ana siku 3 nilimpeleka hospital mana alibanwa na mafua, ila baada ya hapo nilirudi nyumbani.Mifupa haijakomaa hivyo anatakiwa akae ndani mpaka itakapokomaa ndio akapewe chanjo?
Akiumwa akaendani mpaka mifupa itakapokomaa?
Kiufupi huna hoja
na umama bora ni kuweka mtoto ndani[emoji28] unashangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini babe sio mbaya kila mtu na aina yake ya maisha.... ulivyotoka hospital straight home.... alivyotoka hospital akapitia hotel ale then arudi home.... picha ni moja tu me nilijua zipo picha mia za mitaa tofauti tofauti ndio tungesema kamzurulisha..... so chillax okay??tatizo hautaki kuelewa, mie pia mtoto ana siku 3 nilimpeleka hospital mana alibanwa na mafua, ila baada ya hapo nilirudi nyumbani.
chanjo lazma, na akiumwa lazma aende hospital hata kama ana siku 2 ila ukiangalia mazingira ya hizo picha hakuwa kwenye chanjo hapo.
anyway naona tunaongea lugha 2 tofauti.
Poa nijuavyo mimi siku 40 hua ni za mama na sio mtoto sema wabongo tumeadapt vitu tusivyovielewa lol.....Tangu kazaliwa huyu mtoto probably siku 7 zimepita.
Na wale wayahud wanao tahiri watoto wa kiume siku 8 baada ya kuzaliwa mbona hawangojei siku 40 ndio wamtoe mtoto nje.
Mtoto anaweza kuugua ata akiwa na siku 3 kwahyo asipelekwe na hosptali asubiriwe kufika siku 40?
Au sababu ni faiza?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]tatizo hautaki kuelewa, mie pia mtoto ana siku 3 nilimpeleka hospital mana alibanwa na mafua, ila baada ya hapo nilirudi nyumbani.
chanjo lazma, na akiumwa lazma aende hospital hata kama ana siku 2 ila ukiangalia mazingira ya hizo picha hakuwa kwenye chanjo hapo.
anyway naona tunaongea lugha 2 tofauti.
aya mama.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ungenielewa pia usingeliendelea kujitia uhamnazo
kwahiyo ulitaka na yeye akitoka chanjo aende vuup mpaka home akalale kama ulivyofanya wewe?
Hawezi kupitia mall au kwa hotel sababu mtamuona si mama bora?
Embu leeni watoto wenu wake anamamlaka na maamuzi yake
Sent using Jamii Forums mobile app