Kichanga cha Faiza Ally chaanza kutembezwa kwenye mitaa!!!

Kichanga cha Faiza Ally chaanza kutembezwa kwenye mitaa!!!

Hata mm nilishangaa kwakweli, hata wiki haijafika? Huyo mzazi hata hizo nguvu za kutembea kazipata wapi?
 
Hiyo picha ya tatu ...mtoto wala hajawa well covered ....

Anakitesa kiumbe huyu...
 
Jumatano ni siku ya chajo kwa watoto pale aghakhan na faiza alikwenda huko.
Mlitaka akae nae ndani mpaka mila zenu zitakaporuhusu ndio atoke ampeleke?
Au angeenda yeye pekee kwa niaba ya mtoto??
Au ninyi wenzetu baada ya kujifungua huwa mnafuatwa ndani na madaktari kila chanjo na mnapokua na tatizo?



Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanavamia wasioyajua
 
Hata kama ni chanjo, je picha nazo zina ulazima gani? Wamama wengi wanaharibu watoto hivi. Mama mzuri anaheshimu familia yake na kuifanya private. Nadhani kuna shida kwenye uelewa, kwenda na wakati haamanishi kufanya hivi vituko
Usitake kila mtu aishi maisha unayoishi wewe..

Kila mtu na maisha yake...Kila mtu na lifestyle yake mradi tu havunji sheria za nchi.

Pambana na hali yako.....Pambana na maisha yako..
 
Jumatano ni siku ya chajo kwa watoto pale aghakhan na faiza alikwenda huko.
Mlitaka akae nae ndani mpaka mila zenu zitakaporuhusu ndio atoke ampeleke?
Au angeenda yeye pekee kwa niaba ya mtoto??
Au ninyi wenzetu baada ya kujifungua huwa mnafuatwa ndani na madaktari kila chanjo na mnapokua na tatizo?



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]

_ where ever you are remember me_
 
Kuwapangia watu maisha ni kupoteza muda, zaa wako umuweke ndani.
 
Back
Top Bottom