Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
 
Nimewahi kuchepuka wife alinipiga maswali nikayapangua ila akanishushia nondo moja ikanimaanishia kila nilichoongea ni urongo. Nikashusha pumzi nikasema 'Motherfvcker' na kicheko kikanitoka
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwemda Kwa Mbowe tu

Kibatala: kwa ni Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao Wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Maana yake ni kuwa (Njia ya muongo fupi).. waswahili walisema
 
Huyu jamaa atakuwa aliteswa akakubali kuwa upande wa uonevu kimwili, lakini dhamira yake bado ni thabiti na hicho kicheko ni kejeli kwa waliomtuma kwamba wale wajinga waliomtesa hapo kuna jambo walikosea hawakuliweka sawa mapema.
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwemda Kwa Mbowe tu

Kibatala: kwa ni Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao Wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Anaona tu mitego yao inavyoteguliwa!
 
Ili bidi komandoo urio aliee au
1857559910.jpg
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwemda Kwa Mbowe tu

Kibatala: kwa ni Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao Wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!

Pep
 
  • Nzuri
Reactions: Pep
Back
Top Bottom