Baba kizibani upasikie tu kwa mwenzako - tena hasa ukiwa unapandishwa wa ushahidi wa urongo - unaweza kutoka haja zote mbele za watu.Asee mahakaman kumbe soo sehem ya mchezo mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba kizibani upasikie tu kwa mwenzako - tena hasa ukiwa unapandishwa wa ushahidi wa urongo - unaweza kutoka haja zote mbele za watu.Asee mahakaman kumbe soo sehem ya mchezo mchezo
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu
Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
Haya mambo bhana unazungushwa unakuja kustuka umekanyaga ulipo rukaNimewahi kuchepuka wife alinipiga maswali nikayapangua ila akanishushia nondo moja ikanimaanishia kila nilichoongea ni urongo. Nikashusha pumzi nikasema 'Motherfvcker' na kicheko kikanitoka
duh...umenikumbusha mbali sana, jamaa alikuwa haachi bible akiingia mahakamani. Hii nchi is full of drama.Urio ni sawa tu na yule dereva wa Wangwe!
Aliteswa sana alafu kakubali kuaibika. Anatokea mahabusu anajifanya anatokea hoteli.Nasikia aliteswa sana
Uko timamu kiakili? Unaifuatilia kesi vizuri? Nawasiwasi huwenda ukawa unafanana na marehemu Dr. ShikaJIPENI MATUMAINITU MBOWE KASHAZAMISHWA
Amekumbuka mchongo ulivyochongwa huku wachongaji wakiamini hautashitukiwa , lakini umeshitukiwaKibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu
Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
Wamemuaibisha sana Mama,hawa maafande.Hawa kina Urio ndio waliomfanya Mhe Samia aongee kwa KUDEMKA kupitia BBC kuwa Wana ushahidi kuwa Mbowe Ni gaidi.
Acha upotoshaji Mda wa kutoa maelezo upo, Kazi ya Wakili wa upande wa utetezi ni kuuliza maswali tu na inakulazimu Ujibu..Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.
Na maswali mengi huwa yanakuwa ya kijinga na ambayo Mara nyingi Ni irrelevant Ni ilimradi tu yawe in favor ya wahusika.
Mfano, ukiulizwa ulipo amka asubuhi ivaa nguo na ukatakiwa kujibu Ndio au hapana
Haamini kuona hakuna sms hata moja ya.majibu kutoka kwa mbowe na number si yakeKujiamini kwenye kutokujua?
Kujiamini kwenye uongo?
Mtu mjinga na mwongo kamwe hawezi kujiamini. Period!!
Unatumia nini kujiunga huko Telegram.Kuna mambo wanabishana ila ni ya kipopoma sana na uhaba wa ufahamu wa mitandao
Kibatala hafahamu mitandao na anayejibu hafahamu
Kibatala angefahamu asingeuliza urojo, Urio angefahamu angejibu kirahisi sana
Wote wameshindwa kujua namba inaonekana wapi katika telegram
Kwa kifupi hana cha kusema anabaki anajicheka tu maskini, labda kajiona zombie ikabidi tu achekeKibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu
Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu
Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
Namba ipo na inaonekana lakini wanavyoulizana kiboya sanaUnatumia nini kujiunga huko Telegram.
Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.
Na maswali mengi huwa yanakuwa ya kijinga na ambayo Mara nyingi Ni irrelevant Ni ilimradi tu yawe in favor ya wahusika.
Mfano, ukiulizwa ulipo amka asubuhi ivaa nguo na ukatakiwa kujibu Ndio au hapana