Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!

Labda kwasababu Telegram sio lazima kutumia namba kuwasiliana na mtu, unaweza kutafuta username ya mhusika na kumtumia ujumbe..
 
Nimewahi kuchepuka wife alinipiga maswali nikayapangua ila akanishushia nondo moja ikanimaanishia kila nilichoongea ni urongo. Nikashusha pumzi nikasema 'Motherfvcker' na kicheko kikanitoka
Haya mambo bhana unazungushwa unakuja kustuka umekanyaga ulipo ruka
 
Nasikia aliteswa sana
Aliteswa sana alafu kakubali kuaibika. Anatokea mahabusu anajifanya anatokea hoteli.

Tena Bora angekuwa mahabusu ya kijeshi angekula vizuri na Kulala vizuri hata bia angekuwa anakula tu mpaka sigara. Lakini msenge alivyo boya Yuko mahabusu ya kiraia ananyea ndoo
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Amekumbuka mchongo ulivyochongwa huku wachongaji wakiamini hautashitukiwa , lakini umeshitukiwa
 
Kuna mambo wanabishana ila ni ya kipopoma sana na uhaba wa ufahamu wa mitandao

Kibatala hafahamu mitandao na anayejibu hafahamu

Kibatala angefahamu asingeuliza urojo, Urio angefahamu angejibu kirahisi sana

Wote wameshindwa kujua namba inaonekana wapi katika telegram
 
Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.

Na maswali mengi huwa yanakuwa ya kijinga na ambayo Mara nyingi Ni irrelevant Ni ilimradi tu yawe in favor ya wahusika.

Mfano, ukiulizwa ulipo amka asubuhi ivaa nguo na ukatakiwa kujibu Ndio au hapana
Acha upotoshaji Mda wa kutoa maelezo upo, Kazi ya Wakili wa upande wa utetezi ni kuuliza maswali tu na inakulazimu Ujibu..

Maelezo ya hayo Maswali u anayoulizwa utayatoa wakati ukiongozwa na Wakili wa upande wako
 
Mbona wakina kingai wanawatafuta watu Kama wewe mkawasaidie kumbe mmejificha chooni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mambo wanabishana ila ni ya kipopoma sana na uhaba wa ufahamu wa mitandao

Kibatala hafahamu mitandao na anayejibu hafahamu

Kibatala angefahamu asingeuliza urojo, Urio angefahamu angejibu kirahisi sana

Wote wameshindwa kujua namba inaonekana wapi katika telegram
Unatumia nini kujiunga huko Telegram.
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Kwa kifupi hana cha kusema anabaki anajicheka tu maskini, labda kajiona zombie ikabidi tu acheke
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!


Kicheko hicho maana yake "SASA WAMENIKAMATA"!
 
Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.

Na maswali mengi huwa yanakuwa ya kijinga na ambayo Mara nyingi Ni irrelevant Ni ilimradi tu yawe in favor ya wahusika.

Mfano, ukiulizwa ulipo amka asubuhi ivaa nguo na ukatakiwa kujibu Ndio au hapana

Indeed, a lot of irrelevant questions get asked kwa nia ya kujaribu kumtoa shahidi kwenye reli. Unakuta eti shahidi anaulizwa, kwa mfano, kwanini hukumuambia judge kuhusu kitu fulani (ambacho muongozaji mwenyewe hakumuuliza). Wajibu wa shahidi ni kujibu anachoulizwa. Testifying in court isn’t a freestyle talk. Ni risky kujaribu kuongelea jambo ambalo hujaulizwa!
 
Back
Top Bottom