Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Nilivokuwa sculi kuna wahuni walikuwa wanasema "Pepa likiwa gumu huwa wanapiga bao" "Wengine huishia kucheka vile ngoma inakuja tofauti kabisa na ulipo desa"

Nafikiri ni situation iliyomkuta ndugu Urio,, Askari mwenye nyota mbili begani
Umenikumbusha pepa la Chemistry advance tulipewa possible fake karibia chumba kizima hatukusoma tulijishughulisha kukariri nondo ili kuteleza kwenye pepa hatimaye pepa likaja tofauti hakuna swali hata Moja la kwenye nondo lililotoka

Karibia chumba kizima tukaanza kugeukiana huku tukicheka tukijua tumeshaungua mpk msimamizi akashangaa yeye alijua pepa limekuja rahisi watu wanasherekea kumbe tumepigwa na kitu kizito nusu saa ya kwanza karibu chumba kizima watu walikuwa wamesha okoa muda .
 
Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.

Na maswali mengi huwa yanakuwa ya kijinga na ambayo Mara nyingi Ni irrelevant Ni ilimradi tu yawe in favor ya wahusika.

Mfano, ukiulizwa ulipo amka asubuhi ivaa nguo na ukatakiwa kujibu Ndio au hapana
Wakili wa upande wako wakati wa kukuhoji ndio anatakiwa kuyapangua kupitia wewe cross examinatioa
 
Hivi Mbowe anajua kama wafuasi zake huku uraiani wanaburudika na kufurahi na maswali ya mahakama?
 
MALLYA: Kwenye ripoti yako umesema hapa kuna errors. Je kuna errors ngapi?
KOPLO HAFIDH: Hiyo hiyo moja.
MALLYA: moja inakua error au errors?
KOPLO: Inategemea.
MALLYA: Maana ya terrorist ni nini?
KOPLO: Ni ugaidi.
MALLYA: Na Terrorism maana yake nini?
KOPLO: Ni masuala ya utalii. (Mahakama inaangua kicheko)
MALLYA: Narudia tena. Terrorist umesema ni Ugaidi sio?
KOPLO: Ndio.
MALLYA: Na terrorism maana yake nini?
KOPLO: Ni masuala ya utalii.
Mahakama inaangua kicheko, hadi Jaji anashindwa kujizuia.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani huyu URIO kawa comedian?
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Nimewahi kuchepuka wife alinipiga maswali nikayapangua ila akanishushia nondo moja ikanimaanishia kila nilichoongea ni urongo. Nikashusha pumzi nikasema 'Motherfvcker' na kicheko kikanitoka
Next time usiendekeza mjadala. Bambavuuu[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Sasa hiyo si ndo ID code yake ya Telegram?, Shida wanatumia mitandao hii bila kui study kwanza ,
Telegram unaweza kuitumia bila mtandao wako, provided tu ukazeengee WI-FI ya sehemu yeyote
Haiwezekani kuwa na akaunti telegram bila kuweka namba ya simu hivyo ni lazima namba ya simu ionekane kwenye kumbe yeyote unayotuma au kupokea.
Tofautisha kuwa na data/internet access na kuwa na account ya kuwasiliana
 
Shahidi alikwisha timiza kazi yake.

Kibatala anaendeleza Porojo tu.

Ushahidi muhimu ni uthibitisho wa mawasiliano ya Mbowe na Luteni shupavu Urio.

Pia kuthibitishia mahakama kwamba yeye ndie aliyewaunganisha Makomandoo wale na Mbowe.

Kazi yake ameimaliza,tunasubiri shahidi wa 13.

Tulieni mahakama ichape kazi.
Wanathibitisha hayo mawasiliano yaliyokuwepo (kama yalikuwepo) yalikuwa na lengo gani.

Kitu ambacho hadi sasa ndugu Urio ameshindwa.
 
Sasa hiyo si ndo ID code yake ya Telegram?, Shida wanatumia mitandao hii bila kui study kwanza ,
Telegram unaweza kuitumia bila mtandao wako, provided tu ukazeengee WI-FI ya sehemu yeyote

Kabisa! Kuna kitu ambacho baadhi ya watu hawakijui. Mtu unaweza kuwa Dubai ukafanya installation ya WhatsApp au Telegram (na kuanza kuitumia) kwa number ya simu ya Dubai. Ukija Tanzania ni hiari yako kuibadilisha hiyo number kwenye WhatsApp au Telegram. Vinginevyo, hiyo platform inaweza kuendelea kutuma messages kwa number hiyo ya Dubai ambako ulishaondoka kitambo, hata kama umeshaweka line tofauti kwenye hiyo simu. Unachohitaji ni internet connection tu kwenye simu yako ambayo uliiwekea hiyo platform!
 
Hawa kina Urio ndio waliomfanya Mhe Samia aongee kwa KUDEMKA kupitia BBC kuwa Wana ushahidi kuwa Mbowe Ni gaidi.
Kwa kunini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shahidi alikwisha timiza kazi yake.

Kibatala anaendeleza Porojo tu.

Ushahidi muhimu ni uthibitisho wa mawasiliano ya Mbowe na Luteni shupavu Urio.

Pia kuthibitishia mahakama kwamba yeye ndie aliyewaunganisha Makomandoo wale na Mbowe.

Kazi yake ameimaliza,tunasubiri shahidi wa 13.

Tulieni mahakama ichape kazi.
Zao la Mwenge hili lazima liwe na uwezo mdogo wa kufikili.
 
Huyu jamaa atakuwa aliteswa akakubali kuwa upande wa uonevu kimwili, lakini dhamira yake bado ni thabiti na hicho kicheko ni kejeli kwa waliomtuma kwamba wale wajinga waliomtesa hapo kuna jambo walikosea hawakuliweka sawa mapema.
Kagundua wahusika wa extraction report walifoji namba. Na aliwaambia kina Kingai kuwa lazima Kibatala atagundua... wakapuuzia.
 
Na Hilo la tatu ndo lenyewe haswaa..ndo maana kibatala akamuuliza unajua msemo unasema the lights are on but nobody at home!?...
Huyu jamaa ameshakuwa mpuuzi..
Nadhani Urio si mpuuzi. Sema kauza utu na uhuru wake; hayuko huru tena.
Urio ni kama Yuda Iskariote. Na atapitia njia ile ile!
Imagine anakiri kuwa haoni umuhimu wake tena
 
Back
Top Bottom