Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

Aibu tupu wajanja tulishajua hakuna kesi hapo muda sana.
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Sasa hiyo si ndo ID code yake ya Telegram?, Shida wanatumia mitandao hii bila kui study kwanza ,
Telegram unaweza kuitumia bila mtandao wako, provided tu ukazeengee WI-FI ya sehemu yeyote
 
Asee mahakamani kumbe soo sehemu ya mchezo mchezo
Ni kazi sana kukalili mda, tarehe, kila kilichotokea hata miaka mitano nyuma,, lazima u float kama si mjanja,,
Lakini bora ujibu, Sikumbuki kuliko kukaa kimya,,
 
Ni kama alifika mahali akasema 'Dah! Bladi Faken'
Kimsingi kuna kakitu kaujinga amejistukia
Haijui vizuri telegram, so alishangaa na kutoamini kutoiona namba yake mwenyewe,
Pengine labda amehisi kibalata ni mchawi[emoji1745]
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Anajishtuki jinsi anavyobanwa na alivyokosea
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Shahidi yuko fresh,anasikitika tuu kuona homeboy wake anaenda kufungwa
 
Aliteswa sana alafu kakubali kuaibika. Anatokea mahabusu anajifanya anatokea hoteli.

Tena Bora angekuwa mahabusu ya kijeshi angekula vizuri na Kulala vizuri hata bia angekuwa anakula tu mpaka sigara. Lakini msenge alivyo boya Yuko mahabusu ya kiraia ananyea ndoo
[/QUO Unamaanisha mahabusu ya polisi ni ya kiraia!!!?
 
Shahidi alikwisha timiza kazi yake.

Kibatala anaendeleza Porojo tu.

Ushahidi muhimu ni uthibitisho wa mawasiliano ya Mbowe na Luteni shupavu Urio.

Pia kuthibitishia mahakama kwamba yeye ndie aliyewaunganisha Makomandoo wale na Mbowe.

Kazi yake ameimaliza,tunasubiri shahidi wa 13.

Tulieni mahakama ichape kazi.
 
Huyu jamaa atakuwa aliteswa akakubali kuwa upande wa uonevu kimwili, lakini dhamira yake bado ni thabiti na hicho kicheko ni kejeli kwa waliomtuma kwamba wale wajinga waliomtesa hapo kuna jambo walikosea hawakuliweka sawa mapema.
🤦🏿‍♂️
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Shahidi gani hataki kukiri mbowe gaidi kila akiulizwa anakataa, yani mashahidi wote wa jamhuri wamemtetea mbowe nawenzake alivyokuja ulio tugajua anakuja kuthibitisha nae kapita mule mule
 
Sasa hiyo si ndo ID code yake ya Telegram?, Shida wanatumia mitandao hii bila kui study kwanza ,
Telegram unaweza kuitumia bila mtandao wako, provided tu ukazeengee WI-FI ya sehemu yeyote
unaweza kujiunga telegram bila kuwa na namba ya simu?
 
Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo

Shahidi: naona Meseji Kwenda Kwa Mbowe tu

Kibatala: Kwani Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu

Shahidi: Nilitumia Mtandao wa Telegram

Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi

Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....

Kibatala:
Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo

Shahidi: Haipo

Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo

Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER

Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu

Shahidi Siifahamu


Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?

Karibuni great thinkers!
Ameumbuka

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa atakuwa aliteswa akakubali kuwa upande wa uonevu kimwili, lakini dhamira yake bado ni thabiti na hicho kicheko ni kejeli kwa waliomtuma kwamba wale wajinga waliomtesa hapo kuna jambo walikosea hawakuliweka sawa mapema.
[emoji28][emoji28][emoji28] hivi nayeye walimnyoosha
 
Back
Top Bottom