Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Ex Commando Mbowe alibugi sana.Medula imesha corrupt
Tatizo kubwa la mahakamani hutoi maelezo, unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa.Asee mahakaman kumbe soo sehem ya mchezo mchezo
Ni licho observe mimi pamoja kua ni professional lawyer ila kibatali ana kipaji cha hiyo kazi, akiendelea kum Cross examine masaa mengine matatu, information ya shahid yote anaenda ku distorted, na ku dicredit shahid mbele ya mahakama kwamba sio mtu wa kumchukulia serious muongo na msaulifu, msalitiKibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwemda Kwa Mbowe tu
Kibatala: kwa ni Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao Wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
JIPENI MATUMAINITU MBOWE KASHAZAMISHWAHuyu jamaa atakuwa aliteswa akakubali kuwa upande wa uonevu kimwili, lakini dhamira yake bado ni thabiti na hicho kicheko ni kejeli kwa waliomtuma kwamba wale wajinga waliomtesa hapo kuna jambo walikosea hawakuliweka sawa mapema.
Na Hilo la tatu ndo lenyewe haswaa..ndo maana kibatala akamuuliza unajua msemo unasema the lights are on but nobody at home!?...
Huyu jamaa ameshakuwa mpuuzi..
Nenda kaandike Facebook kakaJIPENI MATUMAINITU MBOWE KASHAZAMISHWA
ROHO INAKUUMA KUONA GAIDI ANAANGAMIA KWA UJINGA WAKE ALIOTAKA KUFANYA?Nenda kaandike Facebook kaka
Tuache ushabiki kama wa simba na Yanga hapo hamna ushahidi wa gaidi au mdogo wake gaidi labda walete mashahidi wengine wenye ushahidi wa zaidi na simuROHO INAKUUMA KUONA GAIDI ANAANGAMIA KWA UJINGA WAKE ALIOTAKA KUFANYA?
Nilikuwa natafuta kujua huyu Urio anafananaje.Thanks for sharing the photo.Ili bidi komandoo urio aliee auView attachment 2102591
MALLYA: Kwenye ripoti yako umesema hapa kuna errors. Je kuna errors ngapi?
We ni great thinker? Swali la kuuliza hapo ni kwa nini anaikataa ile namba ya Dennis Owner.Kibatala: Unafahamu hiyo namba hapo
Shahidi: naona Meseji Kwemda Kwa Mbowe tu
Kibatala: kwa ni Meseji hiyo Uliyotuma hiyo Meseji Kwenda Kwa Mbowe, Je ni Namba ipi ya simu
Shahidi: Nilitumia Mtandao Wa Telegram
Kibatala: Mtandao Wa Telegram Unapotumia unahitaji Mtandao
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Uliyotumia Mtandao huo wa Telegram ni namba ipi
Shahidi anaangua kichekoo ghafla hapa.....
Kibatala: Shahidi Usicheke, Ndiyo Maana nilikwambia The Truth Shall set you Free.. Mwambie Mheshimiwa Jaji namba yako ipo au haipo
Shahidi: Haipo
Kibatala: Soma Katika Extraction Report hapo Wanasema Namba gani hiyo
Shahidi: 1130138344 DENIS OWNER
Kibatala: Namba hiyo Unaifahamu au huifahamu
Shahidi Siifahamu
Je, ni ugumu wa maswali?
Je, amekumbuka jambo?
Je, anatamani aseme jambo lakini anasita?
Je, ameona jambo la kumfurahisha nyarakani?
Karibuni great thinkers!
Acha kuongopea uma wewe huyu askari sio wa tz buyo wa kenya wee huoni nembo hiyo kwenye baleti hapo?Ili bidi komandoo urio aliee auView attachment 2102591