Na mie ndo nawaza kwa nn tunapishana hivo!!Namna ipi tena
HahahaWaza ukipata jibu utaniambia
Shikamoo mleta mada, tunaweza ongea pembeni kidogo?View attachment 397470View attachment 397472 aliyekua mtangazaji wa singeli na mchekeshaji kicheko achukuliwa na mahasimu wao clouds fm hawa jamaa sijui lini wataacha maugomvi yao ya kuchukuliana watangazaji
Vocal kwenye kadamnasi wapi na wapi, ...Ila sikia hako ka avatar ndio wewe kabisaaaTuongee tu apa hamna shida ukizingatia wote wa miimani
Twende taratibu....ujue wewe ni mwanamke jasiri sanaSio mm wala ata sifananiii nae kingine
Haha eti manjano, jamaniiiclouds wasisahau na kumchukua Bi Hindu pale efm maana wao si zoa zoa manjano
halafu ni usiku sijui mtu utapumzikajeKile kipindi naonaga huwa ni makelele tu, watu wa mkoani hamtaelewa hapa
Umenena mazito sana Mkuu.Mi sikubaliani na uamuzi aliochukua sababu anaenda kujimaliza.mfano mdogo tu ni kwa freduaa aliyekuwa redio free africa,huyu alikuwa mmoja wa watangazaji maarufu sana tz na alikuwa na kipindi chake peke yake ambacho alikimudu hasa lkn toka alivyohamia clouds,amepotea ,akina masudi kipanya wamemfunika kabisa.
Clouds wanachokifanya ni kumvurugia efm ili asiwepo wa kuwa challenge,mfano mdogo tu,muziki wa singeli ilikuwa ni code ya efm lkn toka wauvamie clouds imekuwa shida.
Ngoja tusubili na hiyo television ya efm sijui itakuwaje,maana naona clouds wanarundika tu watangazaji wengi wakati vipindi vichache, matokeo yake wanaishia kubanana kwenye kipindi kimoja.
Kama alivyotangulia kusema mchangiaji hapo juu. Anaenda Clouds watamtumia kisha watamtema hebu check Jose Mara,Fredwaa wapo wapo tu.Kwa nini mkuu