Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Hahahahaha! huu mchezo hauhitaji hasira si ndio wanavyosema Efm? wasikasirike kwani unachomtendea mwenzio na wewe utatendewa,kwani na wao si waliwachukua watangazaji kibao kutoka radio zingine kama Kina Kitenge,Maestro ,Dina,Penny na wengine.

ila hata mimi napenda kile kipindi chao cha michezo kiko poa sana.
 
Mi sikubaliani na uamuzi aliochukua sababu anaenda kujimaliza.mfano mdogo tu ni kwa freduaa aliyekuwa redio free africa,huyu alikuwa mmoja wa watangazaji maarufu sana tz na alikuwa na kipindi chake peke yake ambacho alikimudu hasa lkn toka alivyohamia clouds,amepotea ,akina masudi kipanya wamemfunika kabisa.
Clouds wanachokifanya ni kumvurugia efm ili asiwepo wa kuwa challenge,mfano mdogo tu,muziki wa singeli ilikuwa ni code ya efm lkn toka wauvamie clouds imekuwa shida.
Ngoja tusubili na hiyo television ya efm sijui itakuwaje,maana naona clouds wanarundika tu watangazaji wengi wakati vipindi vichache, matokeo yake wanaishia kubanana kwenye kipindi kimoja.
Umenena mazito sana Mkuu.
 
Mbona sijawahi msikia e FM?hata SAA hii nasikiliza sports hq,na baadae ataingia dina Mario's huyo kicheko anasikika SAA ngapi?
 
Mbona sijawahi msikia e FM?hata SAA hii nasikiliza sports hq,na baadae ataingia dina Mario's huyo kicheko anasikika SAA ngapi?
Inakua kama sa 2 hivi za usiku kipindi chake sina uhakika nahisi ivyo
 
Back
Top Bottom