Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Huyo unayemtetea ndiye anaikamua JF mahakamani. Wewe endelea kumtetea inaezekana akaamuamuru DPP afute kesi.
Tanzania tuna CAG mwenye elimu ya kuunga unga.
Tz tuna CAG tuliye ambiwa hawezi kazi na akatumbuliwa.
Alafu mtu huyo huyo akamteua awe CAG... JE kama kazi ya TRA kashindwa atauweza U-CAG?
Only in tanzania.
Kwa mtindo huu Tanzania ya viwanda itaendelea kuwa wimbo wa jukwaani tu.
Pathetic!
Tanzania tuna CAG mwenye elimu ya kuunga unga.
Tz tuna CAG tuliye ambiwa hawezi kazi na akatumbuliwa.
Alafu mtu huyo huyo akamteua awe CAG... JE kama kazi ya TRA kashindwa atauweza U-CAG?
Only in tanzania.
Kwa mtindo huu Tanzania ya viwanda itaendelea kuwa wimbo wa jukwaani tu.
Pathetic!