Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Wabunge hawazeeki?!

Wabaki na ubunge wao, wizara wapewe vijana nao wakapate uzoefu.

kila siku tunalalamikia uadilifu na inexperienced staff, wapewe vijana tuwa groom ndiyo tutaenda sawa.

Tuache kutetea wazee kila siku, tusiwatupe bali tuende nao watupe uzoefu, ili wakiondoka tuweze kujiongoza.

Asad katumika, inatosha sasa apewe mwingine ndio tunataka hivyo, nchi hii yetu sote hivyo tuijenge sote pamoja.

Na kwa wale wanaoweza kustaafu kwa hiyari tuwaombe wafanye hivyo, ingesaidia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo, ukitoka mwingine anasogea mwisho mwingine anaingia.

AJIRA SIO NDOA!

Uzee siyo ugonjwa na ujana si tiba..
 
Wanasiasa wanapotosha sana kwenye hili, wakiongozwa na Zitto kule Tweeter.
Kuna sense ye 'elitism' sana sasa hivi; ilikuwepo pia wakati wa JK. JK alikuwa anaitwa "Mkwere"; sasa hivi huyu anaitwa "mshamba". The sentiments are the same.
 
Wewe mtu hujui maana ya katiba na muongozo wa kanuni za taasisi ya umma. Umeandika hovyo hovyo mawazo ya kijinga ili yule mtu akuone. Mumeshaujua udhaifu wake imebaki kazi kwenu kujito ufahamu na kuweka akili pembeni. Kabla hujaandika madudu humu uwe unajiridhisha kwanza!

Sasa nakueleza. Magufuli kwa kuteua CAN mpya kavunja katiba ya nchi mchana kweupeee. Na hata tafsiri sahihi ya maneno yaliyopo kwenye kanuni zinazoongoza ofisi ya CAG hajaielewa achilia mbali kama tutajielekeza kwenye kanuni na kuitupa katiba kama yeye alivyofanya.
unajua hata unachoongea mburura au unaropoka kama Kasuku? Eleza ni wapi katiba imevunjwa? Katiba ikivunjwa ni hatua gani za kuchukua? Jaribuni kutumia na akili zenu kuchambua mambo sio kkuongea vitu kama kasuku
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Ama kwa hakika umenena!
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Naelewa hoja yako,kisheria linaweza kuwa sawa kiuadilifu hawa watu wote ni waadilifu tatizo ni nini mpaka iwe tabu kufanya kazi pamoja?
 
Achilia mbali Katiba, hivi kuna Mtanzania anaweza kutetea huu ujinga wa Kichere kuwa CAG? Yaani, mapenzi yetu kwa Magufuli yanafanya tuwe vipofu na kutetea kila kitu. Kama, alishindwa TRA na kuwa demoted , sasa amepandishwa cheo unategemea kweli awe independent kama alivyokuwa Prof?
 
Professor assad bado anamiaka miwili mbele kustaafu sasa wametumia vifungu gani kumuondoa tukumbuke uchaguzi mkuu upo mbioni hivyo huyu mtu alikuwa kizuizi pale
Pesa ya kufanyia kampeni inabidi ichotwe hazina
 
Nimekuelewa lakini hapa lengo ni kutengeneza mazingira ya "plunder with impunity"

Huyu Jiwe ana operate na oligarchy yake iliyo royal kwake. Tukubali tulikosea kumpa nchi atawale, tusubiri the worst to come from him hadi aje atoke ofcn.
2020 watz tujitahidin jamani, tuanze kuwaambia rangi ya kijani kama mtamsimamisha mtu yule yule kura zetu hampati
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.

Mzee Mwanakijiji naona umekata mzizi wa fitna hapa.
 
Nimekuelewa lakini hapa lengo ni kutengeneza mazingira ya "plunder with impunity"

Huyu Jiwe ana operate na oligarchy yake iliyo royal kwake. Tukubali tulikosea kumpa nchi atawale, tusubiri the worst to come from him hadi aje atoke ofcn.

JPM hawezi kuwa worse kuliko Che-nkapa au JK. Haitawezekana, hizo ndio chuki ambazo hazizingatii maendeleo yanayoletwa katika kipindi hiki cha awamu ya 5.
 
Back
Top Bottom