Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #61
Wabunge hawazeeki?!
Wabaki na ubunge wao, wizara wapewe vijana nao wakapate uzoefu.
kila siku tunalalamikia uadilifu na inexperienced staff, wapewe vijana tuwa groom ndiyo tutaenda sawa.
Tuache kutetea wazee kila siku, tusiwatupe bali tuende nao watupe uzoefu, ili wakiondoka tuweze kujiongoza.
Asad katumika, inatosha sasa apewe mwingine ndio tunataka hivyo, nchi hii yetu sote hivyo tuijenge sote pamoja.
Na kwa wale wanaoweza kustaafu kwa hiyari tuwaombe wafanye hivyo, ingesaidia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo, ukitoka mwingine anasogea mwisho mwingine anaingia.
AJIRA SIO NDOA!
Uzee siyo ugonjwa na ujana si tiba..