Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Sasa crab mbona ni benki imefanya wonders nchi ni nakutengeneza fursa za ki benki kwa wananchi kila mahali nyie majority muna kulia wenyewe hakuna kitu pumba tupu kila kitu kinashuka umoja wa kitaifa umevunja munauwa sana sana mumeharibu mifuumo wa kazi elimu afya kila kitu zero munatukuza Mtu badala ya mifumo ya ki serikali ki sheria na kikatiba imefika mahali uchaguzi wa serikali za mitaa munaubomoa nyie zero hakuna cha kujifunza toka kwa Magufuli fisadi papa hataki kuchunguzwa ameweka CAG mwizi mwenziweMungu na yeye anajua, hawa jamaa wangekuwa majority nchi hii tungekoma, wana chuki na roho mbaya kwa yoyote asiye wa kwao, angalia jinsi wanamvyomfagilia Mkuu wa Mkoa wa Tabora ingawaje ni CCM.
Angelia yule ex CEO wa CRDB alikuwa boss wa crdb kwa muda mrefu tangia kubinafsishwa kwa crdb muda ukaisha Magufuli kuteuwa mwingine wakaanza chuki na maneno, haya walimchukia Kardinali Pengo, Askofu mpya wa Dar kateuliwa furaha na shangwe alipoumwa wakaanza maneno, lkn Pengo aliumwa mara nyingi hawakuwahi hata kumpa pole.
Lkn uzuri ni kwamba wao kwa wao pia wanachukiana kuliko chochote, hivyo wanachokifanya ni projection ya chuki yao kwa wengine.
Na miaka ya Sub piaHivi hakuna anayeweza kuupload ibara ya 144 ya katiba tukachambua vipengele vya kustaafu CAG?
Sasa crab mbona ni benki imefanya wonders nchi ni nakutengeneza fursa za ki benki kwa wananchi kila mahali nyie majority muna kulia wenyewe hakuna kitu pumba tupu kila kitu kinashuka umoja wa kitaifa umevunja munauwa sana sana mumeharibu Fumo wa kazi eliminated afraid kila kitu zero munatukuza Mtu badala ya mifumo ya ki serikali ki sheria na kikatiba imefika mahali uchaguzi wa serikali za mitaa munaubomoa nyie zero hakuna cha kujifunza toka kwa Magufuli fisadi papa hataki kuchunguzwa ameweka CAG mwizi mwenziwe
Good questionMkuki mtamu kwa nguruwe mchungu kwa binadamu. Lakini amesahau kuwa usimfanyie mtu kitu ambacho hupendi kufanyiwa, sasa na yeye aruhusu watu wachukue form za uraisi 2020
Naijali nchi yangu bashite wewe uko kwenye unfalme kula kumbuka kusaza Magufuli ni fisadi na wewe team endelea kuenjoy for now lakini mutaishia ukingoni tuUmejawa na chuki sana, haina afya kwa maisha yako, huyo ceo wa crdb wala hakujui achilia mbali hata kujali kama una exist!
Tutaomba kwa Mungu aliye hai kadri ya imani zetu aiondoe nchi yetu toka mkononi mwa shetani huyu kwa njia atakayoona inafaa.Haitakuwa leo wala 2025 hatoki, uchaguzi unaokuja watu wake sasa wanakimbia ofisi. CAG hakutakiwa tangu mwanzo kwa sababu msema kweli, katka kipindi hiki msema kweli hastahili kuishi.
Mwanakijiji hujasoma sehemu inayosema mtu aliyewahi kuwa CAG HARUSIWI KUFANYA KAZI NYINGINE YA UMMA??
Hebu jiridhishe kwanza
Aha, sasa hili linaweza kuwa hoja; miye simjui huyo Kichere zaidi ya wakati alipoondolewa TRA... wengi waliona kama demotion fulani hivi.Sawa ila asingemchagua kilaza wa kwenda kufanyia majaribio kodi zetu. Tumeshachoka kuona vijana wanasoma na kupata shahada ila ajira hakuna, na wapiga domo wasio na elimu ndio wanapewa kazi serikalini.
Mbulula katika ubora wake!! Yaani wewe kula kulala uizidi Taasisi ya Urais?Wewe mtu hujui maana ya katiba na muongozo wa kanuni za taasisi ya umma. Umeandika hovyo hovyo mawazo ya kijinga ili yule mtu akuone. Mumeshaujua udhaifu wake imebaki kazi kwenu kujito ufahamu na kuweka akili pembeni. Kabla hujaandika madudu humu uwe unajiridhisha kwanza!
Sasa nakueleza. Magufuli kwa kuteua CAN mpya kavunja katiba ya nchi mchana kweupeee. Na hata tafsiri sahihi ya maneno yaliyopo kwenye kanuni zinazoongoza ofisi ya CAG hajaielewa achilia mbali kama tutajielekeza kwenye kanuni na kuitupa katiba kama yeye alivyofanya.
Then, ataenda kuendelea na shughuli zake nyingine za binafsi.Mwanakijiji hujasoma sehemu inayosema mtu aliyewahi kuwa CAG HARUSIWI KUFANYA KAZI NYINGINE YA UMMA??
Hebu jiridhishe kwanza
Diwani alishawahi kupelekwa kuwa RAS Kagera kutoka DCI na sasa hivi ni DG TISSAha, sasa hili linaweza kuwa hoja; miye simjui huyo Kichere zaidi ya wakati alipoondolewa TRA... wengi waliona kama demotion fulani hivi.
I will cherish this comment for the rest of my lifeNimekuelewa lakini hapa lengo ni kutengeneza mazingira ya "plunder with impunity"
Huyu Jiwe ana operate na oligarchy yake iliyo royal kwake. Tukubali tulikosea kumpa nchi atawale, tusubiri the worst to come from him hadi aje atoke ofcn.
Siyo lazima; wananchi watatakiwa kuamua.Sawa sawa.
Si lazima pia kwa Yohana kutawala mara ya pili.
Apigwe nduli iddi aminiiiiii......
Ndio mambo kuchanganya; kuna mahali popote nimewahi kuhoji lengo la Membe kugombea Urais kupitia CCM au kuchukua fomu? Mbona hata siyo la kustahili kujadiliwa?Kwa hiyo kwa mtaji huu sioni kosa laBenard Membe kugombea urais kwa ticket ya CCM dhidi ya mwenyekiti aliyepo madarakani ambaye yupo kwenye term ya kwanza ya miaka 5.
Tuache double standards