Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #141
Rufiji hapa Sasa Ni kuhamisha magoli..hoja nzima jana ilikuwa ni kuvunjwa kwa Katiba. Tukubaliane kwanza Katiba haijavunjwa halafu tunaweza kuhamia huku kwingine.Issue ya katiba au kuondolewa kwa Assad kabla ya muda ni irrelevant. Issue hapa ni kuchaguliwa mtu ambaye inaonekana kabisa hakuqualify kutokana na mambo aliyoyafanya huko TRA. Kwa hiyo, ni kama anafanyiwa favour na Magu, je ni nini ataenda kukifanya zaidi ya kulinda ufisadi?
CAG anatakiwa kuwa na PhD? Utoh alikuwa na shahada ngapi?Lakini pamoja na hayo bado elimu haitoshi sana kupewa U-CAG ,kigezo cha CPA kisengetosha kumpatia hicho cheo ,angalau angekuwa na PhD kidgo...any way hatuwezi kuhoji sana uteuz wa RAIS ila tumtakie Kaz njema .
Alipomtumbua Kichere mliimba nyimbo zile zile za kusifu Mtumbuaji. Leo kamrejesha tena kwa mbwembwe ninyi bila aibu mmeshatunga nyimbo mpya za kusifu na kuabudu.Huyu jamaa ana sifa zote za kuwa rais wa Tanzania.
1. Mweledi
2. Muadilifu
3. Mnyenyekevu
4. Mchapa kazi
5. Jasiri
6. Mthubutu
7. Hayumbishwi
Nilikuwa namuongelea Mussa AssadAlipomtumbua Kichere mliimba nyimbo zile zile za kusifu Mtumbuaji. Leo kamrejesha tena kwa mbwembwe ninyi bila aibu mmeshatunga nyimbo mpya za kusifu na kuabudu.
Lakini pamoja na hayo bado elimu haitoshi sana kupewa U-CAG ,kigezo cha CPA kisengetosha kumpatia hicho cheo ,angalau angekuwa na PhD kidgo...any way hatuwezi kuhoji sana uteuz wa RAIS ila tumtakie Kaz njema .
Maneno ya Mh Lissu yametimia "tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea"Huyo unayemtetea ndiye anaikamua JF mahakamani. Wewe endelea kumtetea inaezekana akaamuamuru DPP afute kesi.
Tanzania tuna CAG mwenye elimu ya kuunga unga.
Tz tuna CAG tuliye ambiwa hawezi kazi na akatumbuliwa.
Alafu mtu huyo huyo akamteua awe CAG... JE kama kazi ya TRA kashindwa atauweza U-CAG?
Only in tanzania.
Kwa mtindo huu Tanzania ya viwanda itaendelea kuwa wimbo wa jukwaani tu.
Pathetic!
Umefunga thread mama...Mimi swali langu ni hili mmk. Ikiwa kichere alitumbuliwa kwa kejeli kuwa hajui kazi yake huko tra. Leo hii kumuweka kuwa cag inamaana ameshajua kazi yake?
CAG anatakiwa kuwa na PhD? Utoh alikuwa na shahada ngapi?
Hii hoja ni ya kikatiba, sheria na kanuni. Maelezo yako yote, hakuna hata sehemu moja uliyoeleza katiba, sheria na kanuni zinasemaje. Kwa mtu kama wewe, hayo ni mapungufu makubwa!Unatakiwa kuonesha ni wapi hakuna mantiki. Ni wapi nilipokosea kwenye mantiki ili nipasahihishe au nikubali kuwa mantiki yangu haikufuata udhanifu.
Anarudi kufundisha book keeping UDSMLakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Anarudi kufundisha book keeping UDSM,mpaka atakapofikisha miaka 60Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Hilo linaeleweka..Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.
Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.
Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Utakua na uoni hafifuHii hoja ni ya kikatiba, sheria na kanuni. Maelezo yako yote, hakuna hata sehemu moja uliyoeleza katiba, sheria na kanuni zinasemaje. Kwa mtu kama wewe, hayo ni mapungufu makubwa!
reading together const&law🙁1)CAG’s term of office is fixed@5 yrs.he’s eligible for renewal but appt authority not compelled to do so.(2)If he reaches 65 b4 expiry of 5 yr term, he has to vacate office.(3)appt authority cannot remove him b4 5 yr or age 65 whichever is applicable.Wewe mtu hujui maana ya katiba na muongozo wa kanuni za taasisi ya umma. Umeandika hovyo hovyo mawazo ya kijinga ili yule mtu akuone. Mumeshaujua udhaifu wake imebaki kazi kwenu kujito ufahamu na kuweka akili pembeni. Kabla hujaandika madudu humu uwe unajiridhisha kwanza!
Sasa nakueleza. Magufuli kwa kuteua CAN mpya kavunja katiba ya nchi mchana kweupeee. Na hata tafsiri sahihi ya maneno yaliyopo kwenye kanuni zinazoongoza ofisi ya CAG hajaielewa achilia mbali kama tutajielekeza kwenye kanuni na kuitupa katiba kama yeye alivyofanya.
Inawezekana kabisa mkuu, maana huko kwao Yohana hawajazoea kukaa madarakani kwa muda mfupi.Akifanikiwa kurekebisha katiba anaweza kukaa awamu 4 hivi...
Am jusy saying... i didnt mean it [emoji3][emoji3]
Tuambie pia chama unachokishabikia sasa hakilazimiki kumteua magufuli miaka mitano mingineWatu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.
Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.
Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Inawezekana kabisa mkuu, maana huko kwao Yohana hawajazoea kukaa madarakani kwa muda mfupi.