Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Umejitahidi lkn mbona kila siku simba chawine hakuna mwengine
 
Mimi swali langu ni hili mmk. Ikiwa kichere alitumbuliwa kwa kejeli kuwa hajui kazi yake huko tra. Leo hii kumuweka kuwa cag inamaana ameshajua kazi yake?
Thank you my sister, what a good question is that, truth is, if he could not perform at tra how on earth can he be able to audit the gava?????
 
Wewe mtu hujui maana ya katiba na muongozo wa kanuni za taasisi ya umma. Umeandika hovyo hovyo mawazo ya kijinga ili yule mtu akuone. Mumeshaujua udhaifu wake imebaki kazi kwenu kujito ufahamu na kuweka akili pembeni. Kabla hujaandika madudu humu uwe unajiridhisha kwanza!

Sasa nakueleza. Magufuli kwa kuteua CAN mpya kavunja katiba ya nchi mchana kweupeee. Na hata tafsiri sahihi ya maneno yaliyopo kwenye kanuni zinazoongoza ofisi ya CAG hajaielewa achilia mbali kama tutajielekeza kwenye kanuni na kuitupa katiba kama yeye alivyofanya.
asante sana mkuu, watu wengine hata hawana akili hata kidogo, ukitafusiri katiba, ni wazi kuwa CAG, atahudumu miaka 5 kisa kaa hajafikisa miaka 60 ateuliwe kwa kipindi kingine cha miaka 5 na hicho kipindi kiwe cha mwisho, hata kaa hio maadishi ya ateuliwe kwa miaka mingine 5 katika katiba kaa hajafikisha miaka 60, anasitahili kupewa miaka ingine 5, sasa huyu aliyeteuliwa kaa TRA ilimushinda, je ataweza kuaudit the whole gorverment???? ni wajinga tu ambao hawaoni ya kuwa magufuli amevuja sheria
 
Nimekuelewa lakini hapa lengo ni kutengeneza mazingira ya "plunder with impunity"

Huyu Jiwe ana operate na oligarchy yake iliyo royal kwake. Tukubali tulikosea kumpa nchi atawale, tusubiri the worst to come from him hadi aje atoke ofcn.
thanks sir for seeing what these ccm idiots cant see, magufuli only intrest is to plunder this country to the last cent
 
asante sana mkuu, watu wengine hata hawana akili hata kidogo, ukitafusiri katiba, ni wazi kuwa CAG, atahudumu miaka 5 kisa kaa hajafikisa miaka 60 ateuliwe kwa kipindi kingine cha miaka 5 na hicho kipindi kiwe cha mwisho, hata kaa hio maadishi ya ateuliwe kwa miaka mingine 5 katika katiba kaa hajafikisha miaka 60, anasitahili kupewa miaka ingine 5, sasa huyu aliyeteuliwa kaa TRA ilimushinda, je ataweza kuaudit the whole gorverment???? ni wajinga tu ambao hawaoni ya kuwa magufuli amevuja sheria
Hapa kuna issue ya Magufuli kupanga timu yake ili afanye anachotaka bila ukaguzi. Mfano ni ATCL.

Hakuna issue ya katiba.

Ukiingiza hoja ya katiba, hakuna sehemu ambapo katiba inamkataza Magufuli kubadilisha CAG baada ya CAG kumaliza kipindi chake cha miaka mitano.

Kama una sehemu ya katiba inayoelezea hilo, iweke hapa tuijadili.

Zaidi, fungua kesi mahakamani useme Magufuli kavunja katiba.

Kuna tofauti kati ya Magufuli kutumia mbinu za kisheria kufanikisha nia yake mbaya na Magufuli kuvunja katiba.

Hapa kwenye kumtoa CAG, Magufuli anetumia mbinu zinazoruhusiwa na katiba, hata kama nia yake inaweza kuwa mbaya.

Tatizo linakuja, kisheria kuthibitisha nia mbaya ni kitu kigumu sana.
 
Huyo unayemtetea ndiye anaikamua JF mahakamani. Wewe endelea kumtetea inaezekana akaamuamuru DPP afute kesi.

Tanzania tuna CAG mwenye elimu ya kuunga unga.

Tz tuna CAG tuliye ambiwa hawezi kazi na akatumbuliwa.

Alafu mtu huyo huyo akamteua awe CAG... JE kama kazi ya TRA kashindwa atauweza U-CAG?

Only in tanzania.

Kwa mtindo huu Tanzania ya viwanda itaendelea kuwa wimbo wa jukwaani tu.

Pathetic!
Thanks sir, uwe na a blessed week ahead
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.

Sasa mimi mzee Kichuguu nimeingiaje hapa kwenye mambo ya CAG aliyekuwa hajui kazi zake akidhani kuwa naye ni mwanasiasa badala ya kuwa mtaalam kwa kukagua mahesabu ya serikali akaaza kuwa anaitisha press conference kupambana na Bunge? Ikafikia mahesabu ya serikali yakawa politicized na kufanya baadhi ya watendaji wasiwe na imani nayo tena? Mimi ni kichuguu tu; mchwa na nguchiro ndio wangu siyo hao maCAG wababaishaji.

Waswahili tunadhani kuwa kwa vile Assad ni profesa basi yeye ni zaidi kwa kila jambo kumbe tunasahau siku hizi Tanzania kuna maprofesa wengi sana wa kuokotezaokoteza tu. Kuna profesa mmoja wa chuo kimoja Tanzania ambaye huwa namsikia sana akihojiwa kwenye vyombo vya habari lakini jamaa yule alinunua digrii ya Ph.D huko PWU baada kushindwa Ph.D halali huko Norway.
 
Sasa mimi mzee Kichuguu nimeingiaje hapa kwenye mambo ya CAG

Aisee tena nilikuwa nimekuwazia kabisa tu... yaani, kinachoendelea hadi wakati mwingine inaudhi. Ndio maana nimesema watu wengine wamejitoa "ufahamu" kabisa ilimradi waonekane wamempinga Magufuli na kuonesha kuwa wao wanajua.
 
Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua.

Kilichowazi ni kuwa pindi akishateuliwa na kuapishwa CAG hawezi kuondolewa kirahisi hadi muda wake wa miaka mitano upite au yatokee yale yaliyoanishwa kwenye Katiba kuweza kumuondoa. Ina maana Rais hawezi kuamka na kumtumbua au kumuondoa ofisini kiholela - ndio maana Ndugai pamoja na majaribu yote hakuweza kumuondoa.

Sasa kipindi cha miaka mitano kikiisha CAG anaweza (eligible) kuteuliwa tena; lakini hawezi kulazimisha kuteuliwa tena kwa vile tu alikuwa CAG miaka mitano iliyopita. Huku ni kutokusoma na kuelewa kwa usahihi Katiba na sheria.
Swali ambalo linaweza kuulizwa na labda la muhimu kisheria ni hili: Kwa vile CAG inadaiwa hajafikisha miaka 60 ya kustaafu kwa lazima na kwa vile hajateuliwa kushika tena nafasi hiyo je bado anaendelea kuwa mtumishi wa umma au la? Kama ni ndiyo basi ni wazi atapangiwa kazi nyingine hadi atakapofikisha miaka 60 ya kustaafu (Ubalozi??). Lakini kama siyo, ni wazi atalipwa mastahili yake yote kwa muda wote aliokuwa CAG na kurudi uraiani.
Tusitengeneze mlima toka kichuguu.
Atarudi University of Dar es salaam Business School kuendelea na majukumu ya kitaaluma.
 
Mkapa alishiriki kuwauzia shares SA za makampuni yetu ya NBC, Air Tanzania, Tanesco etc kwa bei ya peremende, na wao wakayaua kwa kifo cha mende. JK aliruhusu waporaji wa rasilimali na kuiba twiga wetu na kufilisi taifa na kutembeza bakuli huko Ulaya. JPM karudisha nidhamu serikalini na kuweka kipau mbele kufufua mashirika yaliyouzwa na kutokutegemea bakuli huko ulaya. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Ghoosh!!!!
 
Mwanakijiji kama si Mtanzania vile eti watanzania waamue 2015 kwani wananchi hawakuamua Zanzibar toka 1995 wananchi hawakuamua?hivi hata mlio nje pia mnaka teuzi nchi hii ina wanafiki balaa
Nyie ishini kwa kufikiria uteuzi. Hivi ukiitwa kulitumikia taifa lako utakataa? Nani atalitumikia basi?
 
Hoja nzima ya Mwanakijiji, kiuhalisia, imekosa mantiki. Hakuwa na hoja yoyote ya kuandika ila nadhani anaamini kuwa ni lazima aandike hata asipokuwa na cha kuandika.
Unatakiwa kuonesha ni wapi hakuna mantiki. Ni wapi nilipokosea kwenye mantiki ili nipasahihishe au nikubali kuwa mantiki yangu haikufuata udhanifu.
 
Lakini pamoja na hayo bado elimu haitoshi sana kupewa U-CAG ,kigezo cha CPA kisengetosha kumpatia hicho cheo ,angalau angekuwa na PhD kidgo...any way hatuwezi kuhoji sana uteuz wa RAIS ila tumtakie Kaz njema .
 
Aisee tena nilikuwa nimekuwazia kabisa tu... yaani, kinachoendelea hadi wakati mwingine inaudhi. Ndio maana nimesema watu wengine wamejitoa "ufahamu" kabisa ilimradi waonekane wamempinga Magufuli na kuonesha kuwa wao wanajua.
Issue ya katiba au kuondolewa kwa Assad kabla ya muda ni irrelevant. Issue hapa ni kuchaguliwa mtu ambaye inaonekana kabisa hakuqualify kutokana na mambo aliyoyafanya huko TRA. Kwa hiyo, ni kama anafanyiwa favour na Magu, je ni nini ataenda kukifanya zaidi ya kulinda ufisadi?
 
Back
Top Bottom