Duh hz story mnatoaga wap ? Kabla ya WW1 Britain , France na Germany ndo yalikuwa mataifa makubwa kiuchumi duniani , Urusi ni mpenz mtazamaj tang zama na zama , hajawai kuwa superpower mpk WW1&2 alipofanikiwa kuunda USSR mwaka 1917 na kueneza sera zake za ujamaa duniani kote ila USSR ilianguka baada ya kujisahau kwa kuwekeza nguvu nying kweny kuupigania ujamaa na kusahau mambo yake ya ndani,USSR iliparanganyika na kurudi kuwa Urusi ya sasa kiande kinachoshikishww ukuta na Zele