mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Hahaa ha ha ha! Hatari sanaAnawaambia najua mnajua nani ni kidume wenu kipindi mnapapaswa na Hitler
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa ha ha ha! Hatari sanaAnawaambia najua mnajua nani ni kidume wenu kipindi mnapapaswa na Hitler
Hahaa ha ha ha! Hatari sanaAnawaambia najua mnajua nani ni kidume wenu kipindi mnapapaswa na Hitler
Mimi mtetezi wa wanyonge kama Biden na Putin.[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
we jambazi hueleweki upo upande upi .....pro russiaaaa au pro marekani na wenzie...
Kwa kuivamia ukraine ? Kwamb akiipiga ukraine anakuwa kawakomboa , jf siku hz ina vilaza aseeKwa waelewa wote wa namna dunia inakwenda, putin ameamua kutukomboa na ushetan na unyonyaji wa west. Tumwombee
Duh hz story mnatoaga wap ? Kabla ya WW1 Britain , France na Germany ndo yalikuwa mataifa makubwa kiuchumi duniani , Urusi ni mpenz mtazamaj tang zama na zama , hajawai kuwa superpower mpk WW1&2 alipofanikiwa kuunda USSR mwaka 1917 na kueneza sera zake za ujamaa duniani kote ila USSR ilianguka baada ya kujisahau kwa kuwekeza nguvu nying kweny kuupigania ujamaa na kusahau mambo yake ya ndani,USSR iliparanganyika na kurudi kuwa Urusi ya sasa kiande kinachoshikishww ukuta na ZeleUrusi alikuwa supapawa kabla hata ya Usa. Mambo mengi sana Usa amejifunza kutoka kwa Urusi.