Kichwani kwa Bondia Mwakinyo kupo sawa sawa? Amuombe Radhi upesi sana ' Legend ' Rashid Matumla kabla hajatuudhi zaidi

Huyo dogo Ni undispln Sana hasa maeneo ya kwako huko tanga Ila mdigo huyo kujiona Jambo la kawaida ila mwanzo wa kuanguka ndio huu

Anashindwa kuelewa kuwa maneno yake yanaishi na yatamhukumu mbelen

Akitaka mapambano aombe tu mbona vijana weng wapo tu shughuri ataiyona

Kumtusi matumla Ni kuitusi tasnia ya ndondi na wanandondi wote wa dar Kaz anayo mwakinyo
 
Watanzania watamfurahisha
 
Miaka 24 nafikiri bado yu kijana sana, tumsameheni na tumpeni tena nafasi.
 
Jinsi ya kumkosoa Mwakinyo ni kumwekea rekodi za mapambano yake rasmi ya kugombea mikanda na kuweka ya Matumla.

Pia kuweka rekodi za wanafunzi wa Mwalimu wa Mwakinyo na za Wanafunzi wa Matumla.

Kisha kumwambia nini ajifunze toka kwa Matumla kama amezidiwa yeye na Kambi yake. Lakini kama Kambi ya Mwakinyo ina rekodi nzuri basi Matumla awe mpole.
 
Hivi kwani arsene wenger hawezi kukosoa mbinu za jose Mourinho??

Japo Mourinho anaweza kua na vikombe vikubwa kumzidi wenger??
 
Hivi kwani arsene wenger hawezi kukosoa mbinu za jose Mourinho??

Japo Mourinho anaweza kua na vikombe vikubwa kumzidi wenger??
Anaweza kukosoa lakini lazima ajue na akubali sio kila atakachokosoa kitakubaliwa hasa kama anae mkosoa ana mafanikio kwenye kile anachomkosoa kuliko yeye.
 
Huyu dogo hana adabu
Kwanza yeye Nani asikosolewe
Mbona amekuwa na dharau mapema sana
Naona ashaanza jiona kama floyd
Matumla Ana heshima yake nchi hii
Kwanza no role model wa vijana wengi sana
Mpaka kufanya watu Kuingia kwenye boxing

Hivi mtu akikukosoa ndy syo mzalendo
Asipokosolewa atarekebisha Vp makosa yake kwenye mchezo yake

Ova GENTAMYCINE,
 
Nmeskia clip yake alafu alivyokuwa mjinga anasema matumla kabakia kuvaa masuruali makubwa kama Tupac....
Mshns sana hyu

Ova
 
Fal sana huyu
Dogo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…