KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

Kuna haja gani kulipia cheti ili hali hii tuzo kutokana na gharama ambazo mwanafunzi anakuwa ameshalipia ikiwa ni pamoja na kukaa darasani miaka minne, nakumbuka kipindi cha nyuma kulikuwa na hela ya mtihani wa taifa kwa sasa sina uhakika kwa kuwa nimesomesha zaidi private ambako nadhani hizo gharama hujumuishwa huko huko
Okay.....hicho cheti kinatengenezwa stationary, enzi hizo ada matumizi yanatoka huko huko sahivi hakuna ada hiyo garama nani atalipa???

Au basi usilipe kataa
 
Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Sijaona cha ajabu hapo elimu ni gharama ndugu kama umeamua kusomesha lipa hiyi hela.
Kuhusu bima za elfu 10 ndio ipo ni ile Chf wanaunganisha watu 10 wanatengenezewa bima.
 
Okay.....hicho cheti kinatengenezwa stationary, enzi hizo ada matumizi yanatoka huko huko sahivi hakuna ada hiyo garama nani atalipa???

Au basi usilipe kataa
Hivi umeona hizo gharama zilizowekwa hapo? Ukizitafakari vizuri bila mhemuko unaweza kupata kitu.
 
Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Maisha kizungumkuti ndugu,ukisikia ile maaana ya kua uyaone mwanangu ndiyo hiyo🤔
 
Sijaona cha ajabu hapo elimu ni gharama ndugu kama umeamua kusomesha lipa hiyi hela.
Kuhusu bima za elfu 10 ndio ipo ni ile Chf wanaunganisha watu 10 wanatengenezewa bima.
Kwa nini isubiri leo wakati ambapo mtoto amebakiza miezi mitano ya kukaa shule?
 
Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
sasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.

Kama wewe ni mtata mwambie huyo mkuu wa shule hiyo elfu nane ya cheti ni kubwa sana hutoi maama na wewe una stationary hivyo utasubili vyeti vikija utaenda kuchukua hicho cheti uka print kwenye stationary yako.
 
Wadau Eid Mubarak,
Niende kwenye mada nina mtoto wa mdogo wangu ambaye nimekuwa nikimsuport katika elimu yake ya Sekondari. Huyu binti anasoma shule moja SIJUI niite ya serikali au ya kijamii, ni shule zile amabazo zilijengwa mahususi kwa ajili ya jamii za kifugaji ili kuisaidia ukuaji wa elimu kwenye maeneo husika.
Binti huyu mwanzo alifaulu kwenda shule ya kata maeneo ya kijijini kwetu kutokana na mazingira nikaona nifanye ninavoweza kumtoa maeneo yale na akiwa kidato cha kwanza nilifanikiwa kumuamishia shule ya bweni, ilikuwaje hii si mada ya leo.
Kifupi hii shule ina michango mingi sana nadhani Headmaster anakula kutokana na urefu wa kamba. Sasa shule zilivofungwa kwa ajili ya likizo fupi kidato cha nne hawakufunga. Leo ndo nimetumiwa mahitaji kwa ajili ya kumalizia miezi michache iliyobaki. Mojawapo ya michango iliyonistua ni kama ifuatavyo:-
1. Kitambulisho shilingi 10,000/= (Hiki wakati mtoto anaanza fomu one alilipa na hakijawahi tolewa mpaka leo)
2. Project ambayo haitajwi shilingi 30,000/=
3.Remedial 20,000/=
4. Cheti shilingi 8,000/=
5. Mahafari ya shule 20,000/=
6. Mahafari ya dini 10,000/=
7. Bima ya afya 10,000/= hii bima nikauliza kuna bima ya elfu 10? jibu nikwamba wanaunganishwa watoto watano. Hapo pia sijaelewa.
Mahafari ya dini si huwa yanakuwa managed na vikundi vyao vya dini... shule inaingilia ya nini. Hiyo ya dini na cheti usilipie wakikuulize nijulishe
 
sasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.

Kama wewe ni mtata mwambie huyo mkuu wa shule hiyo elfu nane ya cheti ni kubwa snana hutoi maama na wewe una stationary hivyo utasubili vyeti vikija utaenda kuchukua hicho cheti uka print kwenye stationary yako.
Fanya reasoning alafu ndo ucoment, nimeuliza swali make sijawahi sikia hii kitu na nimesomesha wanangu wanne, mmoja amesoma alimaliza form four Mzumbe ni ya Serikali sikusikia hizi gharama za vyeti wengine ndo nikasema labda kwa kuwa walisoma private. Ok fine cheti kinalipiwa hapo kuna malipo yanatajwa kama PROJECT Tshs 30K, Kwa nini hicho cheti kisiingie huko? Yawezekana Project ni kwa kuwa watoto walibaki shule naona chenga chenga tu sielewi hata moja hapo
 
Nadhani shuleni leaving certificates zipo softcopy, so, walimu hujaza details za mtoto, wanaprint na kugonga muhuri.

Sasa hapo kwenye kuprint na kujaza details za mwanafunzi ndo unakuta watu wanakula cha juu.

So, kaa kwa kutulia.
Ni halali ama urefu wa kamba?
 
sasa huyo mkuu wa shule mahafali ya dini yanamuhusu nini? kuhusu hela ya cheti ni sawa maama NECTA hawatengenezi vyeti wanatuna tu soft copy veti vinapakuliwa wanapeleka stationary.

Kama wewe ni mtata mwambie huyo mkuu wa shule hiyo elfu nane ya cheti ni kubwa snana hutoi maama na wewe una stationary hivyo utasubili vyeti vikija utaenda kuchukua hicho cheti uka print kwenye stationary yako.
Usikute na wewe ni mzazi mtarajiwa!
 
Back
Top Bottom